Wananchi muda mrefu tunadai Bunge liwe mubashara lakini bado wametia ngumu. Sisi wananchi ndiyo tuliwaweka madarakani lakini tukiwaeleza Bunge liwe mubashara mnatuona kuwa hatuna maana. Tatizo la 1.5 tr Bunge lingekuwa mubashara haya yote yasingetokea. Serikali jitahidini kutuamini mko hapo kwa sababu yetu sisi wananchi.