SABABU;Kwanini LOWASSA Haaminiki.

SABABU;Kwanini LOWASSA Haaminiki.

Mkaruka

JF-Expert Member
Joined
Feb 5, 2013
Posts
19,933
Reaction score
34,912
Kampani yake(WANAMTANDAO)Ni BILIONEA FISADI CHENGE(Ana mpango wa kumpa UPM),KARAMAGI,ROSTAM Etc !!WHY DO YOU TRUST HIM?
 
kampani yake(wanamtandao)ni bilionea fisadi chenge(ana mpango wa kumpa upm),karamagi,rostam etc !!why do you trust him?
lowassa anakubarika ndani ya ccm kwa kuwa wote hao ni mafisadi hakuna msafi .
Sasa lowasa apime yeye mwenyewe kuwa je anaweza kushinda urais kwa kutumia ccm?????
 
Kampani yake(WANAMTANDAO)Ni BILIONEA FISADI CHENGE(Ana mpango wa kumpa UPM),KARAMAGI,ROSTAM Etc !!WHY DO YOU TRUST HIM?

Hizo pessa walizokula, toka kwa lowassa, wataingia uvunguni, itakuwa mshtuko na hapo lowassa atakufa kwa mshangao havuki.
 
Yet another topic kumuhusu Lowassa. Huyu jamaa kuna watu huwa wanaweweseka usiku wakilitaja jina lake
 
Mzee wa Masauti said:
vibaraka wa joka la mdimu, Lowassa anawanyima usingizi sana
Watu mna MAHABA na LOWASSA!
 
Taarifa nilizonazo ni kuwa lws analazimishwa ila yy anajuwa kuwa ni mchafu magogoni hapamfai
 
Yet another topic kumuhusu Lowassa. Huyu jamaa kuna watu huwa wanaweweseka usiku wakilitaja jina lake

Huyu Lowassa kweli kiboko. Kwa siku zinaanzishwa thread zake zaidi ya kumi hahahahaha na bado ikifika mwezi wa 2 kuna watu watakufa
 
Mkuu ebu ngoja tumalize kwanza uchaguzi wa serikali za mitaa.....unatupasua vichwa mkuu
Yaani wewe ukiona tu jina la fisadi Lowasa moyo wako unaripuka ripuuuuuuuuu! Hivi umelogwa na nini? Au ndo njaa zinakuuma?
 
Hivi kwann nyie vibaraka wa joka la mdimu, Lowassa anawanyima usingizi sana

Membe fedha za Gadhafi zinamtokea puani baada ya serikali ya Libya kumwambia by january awe amerudisha hizo fedha....ndio mana unaona hawa vijana wake wanahaha kila wakati
 
Kampani yake(WANAMTANDAO)Ni BILIONEA FISADI CHENGE(Ana mpango wa kumpa UPM),KARAMAGI,ROSTAM Etc !!WHY DO YOU TRUST HIM?

Wapi fisadi Gotham, fisadi Rizone, fisadi WAMA, wapi fedha za Gadhafi, wapi harambee za mabalozi, wapi fedha za escrow, wapi fedha za sukari, wapi fedha za bomba la gesi, wapi fedha za Comoro, wapi fedha za Congo.....
 
Si Lowasa wala Membe sijawahi kuwasikia Bungeni au mitaani wakikemea ufisadi…Sasa umakini wao mbona siuoni??Swala la IPTL Membe sikumsikia, wala Lowasa labda ni Kigwalagwala tu niliomsikia…sasa mtanihakikishiaje kuwa hawa mafisadi watawatetea wanyonge?? CCM hawana mtu msafi jamani..CCM wanachoangalia nani kachafuka kidogo kusudi wampe go ahead ya kugombea uraisi
 
Back
Top Bottom