Sababu kuu ya mtu kujinyonga katika jambo lolote ni hii

MTV MBONGO

JF-Expert Member
Feb 18, 2016
1,275
1,240
images

Wengine wanadai ni wivu wa mapenzi, wengine wanadai kuchanganyikiwa kwa mtu na wengine eti hasira kali au kukata tamaa,ifahamike kuwa binadamu kaumbwa mwili na roho.Tunapaswa kuilisha na kuitunza miili yetu na roho zetu ili kuwe na uwiano stahili. Sasa binadamu wa leo wanaitunza na kuijali zaidi miili na wanazisahau roho zao kuzilisha mwili utaupatia chakula na mahitaji yake lakini kumbuka hata roho zinahitaji chakuka chake.

Kiroho tunapaswa kusali kwa Muumba wetu na kutenda yale yanayopaswa kadiri ya imani zetu, nchi ambazo dini zinapuuzwa sana ndiko kuliko na vifo vingi vya kujinyonga kwani watu hao hawakuwa na dini hivyo jambo zito likiwapata wanashindwa kuliweka mbele ya imani kwa Mungu mweza yote.Angalia Ulaya wanaojinyonga ni wengi hata hapa Bongo wanaojinyonga wengi ni kwasababu hawana dini au hawaishi kadiri ya matakwa ya dini zao.

KUMBE SABABU KUU NA YA MSINGI YA WATU KUJINYONGA ni kushindwa kutatua matatizo yanayozidi uwezo wao wa kibinadamu kwasababu kiroho wako dhaifu. Wengi wasio na dini au wanaopuuza mambo ya dini wapo katika hatari hii.
 
Tembelea <br />Arusha Empire Counselling Centre <br />Kuna watu wanawatwisha wachungaji na watumishi wengine mizigo wakidhani wana mapepo kumbe wanataka ushauri tuu<br />_ kuna watu wengi wanafika point of no return katika matatizo yao wakidhani hayana suluhisho<br />_ kuna walioachwa na mume mke wachumba n.k<br />_ kuna waliopata loose kwenye biashara zao <br />_ kuna waliofiwa na kujiona wako mwisho <br />_ usijidhuru, usirudi nyuma <br />Waone hawa kwa suluhisho au piga <br />0715133023
 
images

Wengine wanadai ni wivu wa mapenzi, wengine wanadai kuchanganyikiwa kwa mtu na wengine eti hasira kali au kukata tamaa,ifahamike kuwa binadamu kaumbwa mwili na roho.Tunapaswa kuilisha na kuitunza miili yetu na roho zetu ili kuwe na uwiano stahili. Sasa binadamu wa leo wanaitunza na kuijali zaidi miili na wanazisahau roho zao kuzilisha mwili utaupatia chakula na mahitaji yake lakini kumbuka hata roho zinahitaji chakuka chake.

Kiroho tunapaswa kusali kwa Muumba wetu na kutenda yale yanayopaswa kadiri ya imani zetu, nchi ambazo dini zinapuuzwa sana ndiko kuliko na vifo vingi vya kujinyonga kwani watu hao hawakuwa na dini hivyo jambo zito likiwapata wanashindwa kuliweka mbele ya imani kwa Mungu mweza yote.Angalia Ulaya wanaojinyonga ni wengi hata hapa Bongo wanaojinyonga wengi ni kwasababu hawana dini au hawaishi kadiri ya matakwa ya dini zao.

KUMBE SABABU KUU NA YA MSINGI YA WATU KUJINYONGA ni kushindwa kutatua matatizo yanayozidi uwezo wao wa kibinadamu kwasababu kiroho wako dhaifu. Wengi wasio na dini au wanaopuuza mambo ya dini wapo katika hatari hii.
Mkuu MTU anajiua baada ya stress anapata depression .Na Mara nyingine watu hao hawapend kushare masaibu yanayowapata huwa wako wasiri Sana.kumweleza MTU Wa karibu ni tiba kubwa.
 
ni kweli mkuu unawaza kuwa na mchepuko halafu unawaza tena nitapata ugonjwa nikifa watoto wangu wataishia tandale duu halafu nitakula dawa tu mpaka kifo mwisho unajisemea moyoni ni heri kufanya NOVENA
 
Mkuu MTU anajiua baada ya stress anapata depression .Na Mara nyingine watu hao hawapend kushare masaibu yanayowapata huwa wako wasiri Sana.kumweleza MTU Wa karibu ni tiba kubwa.
ni kweli. ila akiwa mtu wa sala ataongea na Mungu wake, angefarijiwa na asingefikia kujinyonga.
 
To be born,then study get a job raise a family just to die 8 eight days before ur second child is born,was my father's fate,,nikifikiriaga hlo najsikiaga kujiua,,nachojaribu kusema ni kwamba naelewa kwann wanajiua
 
Kama kifo chako kilpangwa utakufa kwa kujinyonga ndio hivyo itakavyokua hata ufanyaje. Hizo stress depression sijui imani na din zote ni manuva Tu za kusafisha njia hili hatma ya kusudio la kifo chako kilivyopangwa toka uzaliwe iwe ni kwa kujinyonga.

Swali je wangapi dunian wana mastress na madipression ya laana na kutosha hawajinyongi? Ni wengi sana. Kila mtu amepangiwa atakivyokufa pindi Tu anapozaliwa
 
Kama kifo chako kilpangwa utakufa kwa kujinyonga ndio hivyo itakavyokua hata ufanyaje. Hizo stress depression sijui imani na din zote ni manuva Tu za kusafisha njia hili hatma ya kusudio la kifo chako kilivyopangwa toka uzaliwe iwe ni kwa kujinyonga.

Swali je wangapi dunian wana mastress na madipression ya laana na kutosha hawajinyongi? Ni wengi sana. Kila mtu amepangiwa atakivyokufa pindi Tu anapozaliwa
Mungu hampangii mtu kujinyonga. ukiacha mtu aliyechanganyikiwa, wengine wote ni kwasababu ya udhaifu wa kiimani. walio vzr kiroho hata wakipata madepression hayawezi kuwafikisha hadi kujinyonga.
 
Wewe umeandika kiimani zaidi, lakini kitaalamu sababu pekee ya kujinyonga ni magonjwa ya akili
 
Back
Top Bottom