Natumaini mnaendelea vizuri na ujenzi wa Taifa.
Kumekuwa na sababu lukuki zisemwazo kuwa chanzo cha wanawake kuchoka/kuzeeka haraka, kama vile kuzaa sana, tutojipenda/kujijali, kuanza mahusiano ya kimapenzi katika umri mdogo, unywaji sana wa ulabu/mnazi e.t.c
Lakini mimi naona zote hizo cha mtoto, funga kazi ni hii niliyoiona mimi ambayo huenda ndio inatufanya tuonekane vibibi kabla ya muda.
Hasira + vinyongo + chuki + ubinafsi + kutopenda maendeleo ya wengine ndivyo vinavyotufanya sura zitushuke mapema.
Nawasilisha
Msinichambe jameni khaaaaaaaa
Kinachofanya Wanawake Kuzeeka Haraka Ni Mambo Mawili Tu.
1. Kuzaa Sana.
2. Kuweka Mambo Moyoni.
(Kutojua Kusamehe?
Wanawake wanazeeka haraka, lakini wanaume ndio wanakufa haraka. Bora ni enjoy, tetetetetete, maisha mafupi ni simple!Natumaini mnaendelea vizuri na ujenzi wa Taifa.
Kumekuwa na sababu lukuki zisemwazo kuwa chanzo cha wanawake kuchoka/kuzeeka haraka, kama vile kuzaa sana, tutojipenda/kujijali, kuanza mahusiano ya kimapenzi katika umri mdogo, unywaji sana wa ulabu/mnazi e.t.c
Lakini mimi naona zote hizo cha mtoto, funga kazi ni hii niliyoiona mimi ambayo huenda ndio inatufanya tuonekane vibibi kabla ya muda.
Hasira + vinyongo + chuki + ubinafsi + kutopenda maendeleo ya wengine ndivyo vinavyotufanya sura zitushuke mapema.
Nawasilisha
Msinichambe jameni khaaaaaaaa
Kwakwel vinyongo na ubinafsi vitawazeeshaNatumaini mnaendelea vizuri na ujenzi wa Taifa.
Kumekuwa na sababu lukuki zisemwazo kuwa chanzo cha wanawake kuchoka/kuzeeka haraka, kama vile kuzaa sana, tutojipenda/kujijali, kuanza mahusiano ya kimapenzi katika umri mdogo, unywaji sana wa ulabu/mnazi e.t.c
Lakini mimi naona zote hizo cha mtoto, funga kazi ni hii niliyoiona mimi ambayo huenda ndio inatufanya tuonekane vibibi kabla ya muda.
Hasira + vinyongo + chuki + ubinafsi + kutopenda maendeleo ya wengine ndivyo vinavyotufanya sura zitushuke mapema.
Nawasilisha
Msinichambe jameni khaaaaaaaa
kuchangana machineNatumaini mnaendelea vizuri na ujenzi wa Taifa.
Kumekuwa na sababu lukuki zisemwazo kuwa chanzo cha wanawake kuchoka/kuzeeka haraka, kama vile kuzaa sana, tutojipenda/kujijali, kuanza mahusiano ya kimapenzi katika umri mdogo, unywaji sana wa ulabu/mnazi e.t.c
Lakini mimi naona zote hizo cha mtoto, funga kazi ni hii niliyoiona mimi ambayo huenda ndio inatufanya tuonekane vibibi kabla ya muda.
Hasira + vinyongo + chuki + ubinafsi + kutopenda maendeleo ya wengine ndivyo vinavyotufanya sura zitushuke mapema.
Nawasilisha
Msinichambe jameni khaaaaaaaa