Sababu 25 Za Kutoichagua CCM Mwaka 2015

Sababu 25 Za Kutoichagua CCM Mwaka 2015

Msukule Mweusi

JF-Expert Member
Joined
Jan 24, 2013
Posts
296
Reaction score
58
Sababu Zifuatazo Lazima Ziiondoe C C M Madarakani,

1. Kusababisha Uchumi Wa Nchi Kuwa Duni Kwa Zaidi Ya Miaka 53 Tangu Uhuru

2. Kusababisha Bajeti Ya Nchi Kuwa Tegemezi Kwa Zaidi Ya 60% Kwa Miaka 53

3. Kusababisha Deni La Taifa Kuraise

4. Kuuza Raslimali Za Nchi Kwa Kisingizio Cha Uwekezaji.

Ongezea Sababu Zingine,,,,.,,,,,,,,,,
 
Sababu Zifuatazo Lazima Ziiondoe C C M Madarakani, Moja,,. Kusababisha Uchumi Wa Nchi Kuwa Duni Kwa Zaidi Ya Miaka 53 Tangu Uhuru Mbili,,,, Kusababisha Bajeti Ya Nchi Kuwa Tegemezi Kwa Zaidi Ya 60% Kwa Miaka 53 Tatu,,,,, Kusababisha Deni La Taifa Kuraise Nne,,,,,, Kuuza Raslimali Za Nchi Kwa Kisingizio Cha Uwekezaji. Ongezea Sababu Zingine,,,,.,,,,,,,,,,

Mimi hata CCM wamuweke Mungu kama mgombea wao halafu chadema wamuweke shetani nitachagua shetani tu. Kiufupi sioni neema,matumaini au nuru tena kupitia ccm. Wameshindwa kutatua matatizo yetu miaka 50 baada ya uhuru sasa niwaamini kwa lipi? Huu ni wangu mtazamo wana jf msijenge chuki .... Hata baba ridh moko
 
Sababu Zifuatazo Lazima Ziiondoe C C M Madarakani, MOJA,,.,.,,.,. Kusababisha Uchumi Wa Nchi Kuwa Duni Kwa Zaidi Ya Miaka 53 Tangu Uhuru MBILI,,,,,,.,,,.. Kusababisha Bajeti Ya Nchi Kuwa Tegemezi Kwa Zaidi Ya 60% Kwa Miaka 53, TATU,,,,,..,,,,. Kusababisha Deni La Taifa Kupanda Juu NNE,,,,,, Kuuza Raslimali Za Nchi Kwa Kisingizio Cha Uwekezaji. Ongezea Sababu Zingine,,,,.,,,,,,,,,,
,.. TANO,,,,, C C M Kugeuka Rafiki Wa Wafanyabiashara Na Adui Wa Wakulima Na Wafanyakazi.
 
hata mi nilishangaa kama bavicha anaweza kuwa uwezo wa kutoa sababu hizo 25, kumbe unataka wenye akili ndo wakuandikie!
 
,.. TANO,,,,, C C M Imegeuka Rafiki Wa Wafanyabiashara Na Adui Wa Wakulima Na Wafanyakazi.

SITA,,,,,,, Vigogo Wa C C M Kuendelea Kuwarithisha Watoto Wao, Vyeo Na Madaraka Kama Vile Watu Tusio Na Anuani Na Tusiotoka Ktk Ukoo Wa Viongozi Hatuwezi Ongoza Nchi Au Wizara Na Taasisi Nyeti.
 
Habari ya ccm sitaki kuiskia kwangu,hata mke wangu anajua kuwa akileta uccm tu kwangu ahame! Mtu yeyote tegemez kwangu nikiskia kachagua ccm tu atajibeba,nakatisha misaada yote!
 
SITA,,,,,,, Vigogo Wa C M M Kuendelea Kuwarithisha Watoto Wao, Vyeo Na Madaraka Kama Vile Watu Tusio Na Anuani Na Tusiotoka Ktk Ukoo Wa Viongozi Hatuwezi Ongoza Nchi Au Wizara Na Taasisi Nyeti.

umevurugwa hadi unaji qoute
 
Habari ya ccm sitaki kuiskia kwangu,hata mke wangu anajua kuwa akileta uccm tu kwangu ahame! Mtu yeyote tegemez kwangu nikiskia kachagua ccm tu atajibeba,nakatisha misaada yote!

wewe ni chadema chumbani au sebuleni? Msukule
 
Kuna tetesi kuwa CCM wanania kumsimamisha raisi kijana ambae atarudisha imani kwa wananchi.

Jina siwezi kuliweka hapa.


The king.
 
mkeo lazima aipigie kura ccm.piga ua garagaza.....ukilazimisha ataporwa na slaa

hujielewi mbulura wewe,mi sina ukoo na mapanya! Kwangu ccm ni sawa na zimwi,uzuri hata wazazi wangu walishaachana na hilo zimwi.
 
Kuna tetesi kuwa CCM wanania kumsimamisha raisi kijana ambae atarudisha imani kwa wananchi.

Jina siwezi kuliweka hapa.


The king.

ccm kwa sasa hata wakimsimamisha Mtume Mohamad na mgombea mweza akawa Yesu,kura yangu hawawezi kuipata.Miaka 53 ya utawala wao uliosababisha umaskini mkubwa kwa Watz umetosha wawapishe wengine wenye uwezo,hii nchi si yao peke yao!
 
Sababu Zifuatazo Lazima Ziiondoe C C M Madarakani, Moja,,. Kusababisha Uchumi Wa Nchi Kuwa Duni Kwa Zaidi Ya Miaka 53 Tangu Uhuru Mbili,,,, Kusababisha Bajeti Ya Nchi Kuwa Tegemezi Kwa Zaidi Ya 60% Kwa Miaka 53 Tatu,,,,, Kusababisha Deni La Taifa Kuraise Nne,,,,,, Kuuza Raslimali Za Nchi Kwa Kisingizio Cha Uwekezaji. Ongezea Sababu Zingine,,,,.,,,,,,,,,,

Should a critic point out one of those annoying undesired facts,you can at least feign innocent ignorance,or claim
 
Back
Top Bottom