Fredrick Nwaka
Member
- Jul 8, 2013
- 47
- 65
Saashisha Elinikyo Mafuwe ameshinda kiti cha ubunge Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro baada ya kumshinda mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe.
Je, Saashisha Mafuwe ni nani? Naomba mwenye profile yako tafadhali atusaidie hapa.
Je, Saashisha Mafuwe ni nani? Naomba mwenye profile yako tafadhali atusaidie hapa.