Saashisha Elinikyo Mafuwe ni nani?

Jul 8, 2013
47
65
Saashisha Elinikyo Mafuwe ameshinda kiti cha ubunge Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro baada ya kumshinda mgombea wa CHADEMA Freeman Mbowe.

Je, Saashisha Mafuwe ni nani? Naomba mwenye profile yako tafadhali atusaidie hapa.
 
Saashisha Elinikyo Mafuwe ameshinda kiti cha ubunge Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro baada ya kumshinda mgombea wa Chadema Freeman Mbowe.

Je Saashisha Mafuwe ni nani? Naomba mwenye profile yako tafadhali atusaidie hapa
Profile yake anayo Doto Biteko, mbunge wa hapa Jimbo la Bukombe mkoa wa Geita. Alimfanyia mpango kumhamisha kutoka halmashauri ya Geita na kupeleka Tume ya madini Dodoma.
 
Saashisha Elinikyo Mafuwe ameshinda kiti cha ubunge Jimbo la Hai mkoani Kilimanjaro baada ya kumshinda mgombea wa Chadema Freeman Mbowe.

Je Saashisha Mafuwe ni nani? Naomba mwenye profile yako tafadhali atusaidie hapa
Jamaa alkua Tume ya Madini Pale Kijijini Dodoma Ni Jirani yangu apa Machame Uduru Kama unaenda kwa Tajiri Marehemu Mengi Ova!..kama kuna kingine wataka njoo
 
Huyu jamaa alikuiwa mwalimu wa Sekondari Halmasauri ya Jiji Mwanza
Akaenda kusoma Masters ya Public Administration UDOM
Then akapata ajira ya kimagumashi ya kuwa afisa tarafa huko Geita Tarafa ya Geita mjini kama mtakumbuka kuna kipindi waliajiriwa maafisa tarafa wengi wana CCM kimagumashi bila kufanyiwa usahili sekretarieti ya ajira.
Akiwa huko Geita akabadilisa cheo (recatecorization) na kuwa Afisa Tawala ofisi ya DC Geita,
Baadae akahamisiwa tume ya madini kama afisa tawala.
Jamaa hana uwezo wa kwa namna yeyote kumzidi Mbowe kimsingi ni figisufigisu tu imefanyika.
Mnatakiwa kufahamu kwenye uchauzi kwenye nchi zetu hizi mwenye nguvu ni anayetangaza matokeo na wala sio waliopia kura,
Ndio maana mimi sikuhangaika hata kupia kura kwani kwa aina ya hawa wakurugenzi jinsi walivyochaguliwa nilijua kabisa nini watatangaza.
Upuuzi mtupu uliofanyika
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom