Poor arabs.wanajikaanga kwa mafuta yao wenyewe.ndugu zetu hawa wanachezewa na watu wa magharibi bila kujijua.maneno matakatifu yaliwataka waishi maisha ya kiislaam.kwa sababu wameyakanusha,ndio yanawakuta,watapigana wenyewe kwa wenyewe,watauwana,wataendelea kuwatajirisha wamagharibi mpaka.