The experts' latest report that was made public at the weekend, although it has not yet been officially released, will be less damaging for Rwanda's image. The report says the M23 is still getting some support, however, from that country.
yule Kagame ni snake, M7 yeye anazeeka.
hivi hao waasi wa M23 ndo wamepiga biti JWTZ kweli? hahahahahaha.
nadhani Kagame akisikia minyukano ya kisiasa na kidini hapa tanzania anahisi sisi sio wamoja, namchukia JK lakini kwa issue ya maadui wa nje JK ni ndugu yangu wa damu.
"According to current estimates Makenga has 1,500 men. The movement suffers from defections, yet he's still able to recruit, often forcibly," he said. "According to the group of experts, the M23's main source of revenue is taxation - they make about $180,000 every month, and on that basis I wouldn't necessarily believe that the M23 is finished."
Huyu Kagame na Museveni ni watu hatari sana kwenye ukanda wetu, nampa pongezi Rais wetu JK kwa kupambana na hawa jamaa.
Jamaa wa Rwanda wapo kwenye strategic move ya kuhakikisha uganda, kenya na burundi wanawasupport kwa hili ili kutoa signal kwa Tanzania kwamba wana backup power fulani.
Jamaa wa Rwanda wapo kwenye strategic move ya kuhakikisha uganda, kenya na burundi wanawasupport kwa hili ili kutoa signal kwa Tanzania kwamba wana backup power fulani.