Binadamu jamani ni madaraka tu au anataka damu yao alie mkate...hivi yeye ameambiwa anaishi milele...hana hadhi ya kuitwa baba na kichwa cha familia wala nchi maana anawatafutia wanae laana ya milele kwa tamaa zake..Mungu amuone na amrehemu
AfroAmerica Network!!!!! Please hawo wanajulikana ni akina nani....correspondent wao hapo bongo ni jamaa mmoja anajiita Jmali. Read this with a pinch of salt. Halafu wananichekesha eti wana quote source "within General Paul Kagame's inner circle"...hahahaha vitimbwi.
Mbali na hao akina Nyamwasa, Paul Kagame pia anamtafuta murutongore amuue yeye na familia yake
kwa hiyo ni uwongo tu anazushiwa raisi wenu muuaji PK?
"Akili za kuambiwa......
.....Usizichanganye na za murutongore.atakanusha taarifa yeyote inayomuhusu muuji PK hata kama ina ukweli ndani yake.lol
Wewee! Na yule Kiongozi wa FNLR aliyetekwa Kigoma akiwa anarudi nyumbani kwake na akapelekwa Kigali, Je mliweza kuzuia? Au hujui mambo yanayoendelea we acha tu!Hiyo achezee tu SA akijaribu Tz atashangaa.
Wakati Mboma akiwa CDF,Kagame alikuwa akiuua raia wake huko na kuwatupa mto Rusumo maiti zikawa zinakuja Tz,Mboma alimpigia simu Kagame na kumpa masaa 24 akamwambia akiona maiti from Rwanda kuja Tanzania via mto Rusumo basi yeye hatasubiri amri ya Mkapa sa president atakwenda direct Kigali kumshikisha adabu.
Huwezi amini mkwara huo wa Mboma ulimuogepesha sana PAKA na hakuna mwili tena ulukuja kwa mto.
Na ukitaka kuona PAKA anavyoiogopa TZ basi Kikwete amteue Mboma kuwa balozi wa Tz huko Rwanda.
AfroAmerica Network!!!!! Please hawo wanajulikana ni akina nani....correspondent wao hapo bongo ni jamaa mmoja anajiita Jmali. Read this with a pinch of salt. Halafu wananichekesha eti wana quote source "within General Paul Kagame's inner circle"...hahahaha vitimbwi.
mpo uchi kenge nyieeee
ibilisi kagame tena, MUNGU tusaidie tumkomeshe!
Mungu hawezi kusikiliza sala zako wewe, labda shetani. Damu uliyonayo mikononi itakuandama mpaka kaburini. Najua hulali wewe na nightmare za watoto na wanawake ulioua. Utaandamwa mpaka kufa.
hakika usilolijua ni kama usiku wa giza nene.
ibilisi kagame tena, MUNGU tusaidie tumkomeshe!
Says it all
Hiyo achezee tu SA akijaribu Tz atashangaa.
Wakati Mboma akiwa CDF,Kagame alikuwa akiuua raia wake huko na kuwatupa mto Rusumo maiti zikawa zinakuja Tz,Mboma alimpigia simu Kagame na kumpa masaa 24 akamwambia akiona maiti from Rwanda kuja Tanzania via mto Rusumo basi yeye hatasubiri amri ya Mkapa sa president atakwenda direct Kigali kumshikisha adabu.
Huwezi amini mkwara huo wa Mboma ulimuogepesha sana PAKA na hakuna mwili tena ulukuja kwa mto.
Na ukitaka kuona PAKA anavyoiogopa TZ basi Kikwete amteue Mboma kuwa balozi wa Tz huko Rwanda.