hongera zao sisi tunachanga hela kutwa kucha kuwezesha bajeti wkt hata matunda ya hizo bajeti ni ya mashaka,ndege kwetu ni anasa tunazo chache za precison wanatangaza jina sisi serikali tupo bize kuuza nchi, ndegeeee ndege kitu gani ya rais si inatosha? mwenye kwenda ulaya ipo KLM,emirates,swizair,ethiopia nk.