Rwanda yaongoza parade bora ya jeshi

Rwanda yaongoza parade bora ya jeshi

comrade igwe

JF-Expert Member
Joined
Jan 12, 2015
Posts
7,295
Reaction score
3,950
Katika parade bora ya majeshi Afrika nchi ya Rwanda inaongoza kwa ubora wa parade za kijeshi parade hiyo ni ya mwaka 2017 ikiwemo mbwembwe na vionjo,ushikaji wa vitala na silaha,mbwembwe za vikosi vya wanawake.


 
Watusi wanamatatizo ya Akili sana hiyo yote ni kutokana na Kuishi Kwa kinyanyaswa kwa muda mrefu sasa wameachiwa wapumue kidogo kila wanachokiona kwa wengine wanataka kujifananisha.....kumbuka sifa huja kwa vitendo sio kwa porojo na kuchonga mdomo.
 
Nimeoenda sana, wapo very perfect kwenye timing ya pamija kwenye kuinua mikono na miguu pia kugeuka.
Wanatakiwa kufanya marekebisho makubwa sana kwenye ushika wa Singa. Wamezishika hovyo sana na kuharibu kabisa.
 
Mwandishi atakua anatokea gisenyi sio bure

Hahahahaha duu umeua kabisa hapo,nimependa wale warembo tu yule mbele anavyonengua daah wacha tu tutapeliwe, lakini wako vizuri sifa yao kubwa ni umalaya tu, ukimuoa demu wa kule akitaka kushika mimba anakimbilia kwao kusalimia mwanamuziki AY kazi anayo kwa yule demu wa kinyarwanda, nimeshawadinya sana Benaco
 
Hahahahaha duu umeua kabisa hapo,nimependa wale warembo tu yule mbele anavyonengua daah wacha tu tutapeliwe, lakini wako vizuri sifa yao kubwa ni umalaya tu, ukimuoa demu wa kule akitaka kushika mimba anakimbilia kwao kusalimia mwanamuziki AY kazi anayo kwa yule demu wa kinyarwanda, nimeshawadinya sana Benaco
Mkuu kule kwao usipige wana kitu wanaita "vulundu" balaa saana...ila shda ya madem zao sasa maji utafkir ni haya mafuriko hapa daa kwa kweli
 
Ndio inasaidia nini kuacha kuwa na jeshi bora unasifiwa kwa kuwa na wacheza kwaya wazuri pumbafu sana
 
Katika parade bora ya majeshi Afrika nchi ya Rwanda inaongoza kwa ubora wa parade za kijeshi parade hiyo ni ya mwaka 2017 ikiwemo mbwembwe na vionjo,ushikaji wa vitala na silaha,mbwembwe za vikosi vya wanawake.



Unatuzuga, Parade ya Rwanda ni sehemu ndogo tu, sio yote kama unavyoishusha hapo kuanzia kwenye zile pikipiki hadi mwisho sio Rwanda acha kupotosha.
 
Back
Top Bottom