Rwanda yaanza kutumia ndege zisizo na marubani

Mbona hivi vindege hata Seluu vipo
Si tunaongelea kutoa huduma za afya wewe unaongelea mambo ya mbuga ?

Are we serious? Hizo ni za damu wewe unaleta blabla kama tuna uwezo tuzilete zisaidie kufikisha damu na dawa mapema kwenye zahanati za local areas ambazo ni nyingi Tanzania
 
Kama sikosei jamani, damu huwekwa kwenye jokofu kwa ajili ya kutunzwa, sasa itakapokuwa inasafirishwa angani, hili swala la joto maalumu litakuwaje, hebu tujuzane kidogo.
 
Hizo ndege kwa ajili ya KAZI gani? Vita vyao wahutu na watutsi?
nchi yenyewe ndogo sana drone ya nini ukiwa hata kwenye bone unaweza ukawaona maadui wa rwanda wote ! drone ya nini, any way ni show off za kagame tu hamna jipya
 
Si tunaongelea kutoa huduma za afya wewe unaongelea mambo ya mbuga ?

Are we serious? Hizo ni za damu wewe unaleta blabla kama tuna uwezo tuzilete zisaidie kufikisha damu na dawa mapema kwenye zahanati za local areas ambazo ni nyingi Tanzania
Wewe ndiye unaleta blabla, awali ulikuwa hujasema hizo ndege ni kwa ajili ya kazi gani, kuna mtu kakuuliza hizo ndege ni kwa ajili ya kazi gani umejibu "ni kwa ajili ya kutoa huduma tu", Na inaonekana lengo lako la awali kuleta uzi huu halikuwa kuifanya serikali ijufunze kutoka Rwanda namna ya kuboresha huduma za Afya, lilikuwa lingine kabisa.
Hata hivyo, kwani hizo zilipo katika Hifadhi yetu siyo za kutoa huduma? Tatizo lenu mnawasilisha mambo yenu hapa kisiasa.
 
Tanzania kuna maeneo mengi hayafikiki kirahisi na huduma za afya bado ni mbovu na serikali haijafanya jitihada kama hii ya Rwanda, nashangaa watu wanaponda as if sisi hatuzihitaji.
 
Tanzania kuna maeneo mengi hayafikiki kirahisi na huduma za afya bado ni mbovu na serikali haijafanya jitihada kama hii ya Rwanda, nashangaa watu wanaponda as if sisi hatuzihitaji.
Ni kweli kabisa Mkuu Tanzania tuna shida kubwa sana katika huduma za Afya, na hili suala la dawa na vifaa tiba bado ni mada kubwa inayoendelea hapa nchini. Hivyo siyo kwamba wote tunaponda, mleta uzi ndiye kawasilisha vibaya
 
Wewe ndiye unaleta blabla, awali ulikuwa hujasema hizo ndege ni kwa ajili ya kazi gani, kuna mtu kakuuliza hizo ndege ni kwa ajili ya kazi gani umejibu "ni kwa ajili ya kutoa huduma tu", Na inaonekana lengo lako la awali kuleta uzi huu halikuwa kuifanya serikali ijufunze kutoka Rwanda namna ya kuboresha huduma za Afya, lilikuwa lingine kabisa.
Hata hivyo, kwani hizo zilipo katika Hifadhi yetu siyo za kutoa huduma? Tatizo lenu mnawasilisha mambo yenu hapa kisiasa.
Acha utoto wewe uwe unasoma comment za wenzio kama ukashindwa unapita kimya kimya sio lazima uchangie kila kitu ...

Naona wewe ndiye unaleta siasa
 
Back
Top Bottom