Rwanda na Malawi ni ndugu zetu

Rwanda na Malawi ni ndugu zetu

GAZETI

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2011
Posts
5,292
Reaction score
6,769
Habarini za mwisho wa wiki.
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo. Ndugu zangu napenda kuwaombeni
kuwa mizozo ya wanasiasa isitufanye tuvunje uhusiano wetu na wanyarwanda
na Wamalawi. Siku zote napenda mufahamu kuwa hawa wanasiasa wa Afrika sio
wa kuwashabikia sana kwani wako tayari kufanya mambo yatakayowanufaisha
watu kutoka nje ya bara la Afrika huku wakiwaacha Waafrika wenzao katika hali
mbaya ya kiuchumi.

Hii mizozo tuwaachie viongozi sisi tuendelee na mambo yetu likitokea jambo lolote
wao huwa wa kwanza kukwea Ndege huku wakipokelewa na baadhi ya mataifa
kama wakimbizi waheshimiwa, lakini sisi tunaogombana wenyewe kwa wenyewe
tunaishia kufunikwa na mahema huku tukiwa hatuna hata uhakika wa chakula.

AFRIKA NI MOJA, WAAFRIKA NI WAMOJA.... MIPAKA ILIYOWEKWA NA WAZUNGU
ISITUGAWE.
 
Habarini za mwisho wa wiki.
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo. Ndugu zangu napenda kuwaombeni
kuwa mizozo ya wanasiasa isitufanye tuvunje uhusiano wetu na wanyarwanda
na Wamalawi. Siku zote napenda mufahamu kuwa hawa wanasiasa wa Afrika sio
wa kuwashabikia sana kwani wako tayari kufanya mambo yatakayowanufaisha
watu kutoka nje ya bara la Afrika huku wakiwaacha Waafrika wenzao katika hali
mbaya ya kiuchumi.

Hii mizozo tuwaachie viongozi sisi tuendelee na mambo yetu likitokea jambo lolote
wao huwa wa kwanza kukwea Ndege huku wakipokelewa na baadhi ya mataifa
kama wakimbizi waheshimiwa, lakini sisi tunaogombana wenyewe kwa wenyewe
tunaishia kufunikwa na mahema huku tukiwa hatuna hata uhakika wa chakula.

AFRIKA NI MOJA, WAAFRIKA NI WAMOJA.... MIPAKA ILIYOWEKWA NA WAZUNGU
ISITUGAWE.


Hakika uko sahihi, kabla ya Berlin Conference mwaka 1884 Africa ilikuwa haina mipaka bali koo tofauti zilimiliki maeneo kama prestige zao na kwa kukuhakikishia hilo tunaweza kuangalia baadhi ya maneno katika lugha za Waafrika, chukua neno "Mtu" wengine watasema "muntu", "Ntu", "Munu", "Buntu" na kadhalika. Kuhusu Rwanda nikianzia hapo kabla ya huo mkutano wa Berlin Rwanda ilikuwa ni Tanganyika ikiwamo na Burundi pia. Malawi ambalo ni jina la asili kabisa Wazungu waliita Nyasaland baada ya uhuru ikalirudia jina lake la asili la Malawi wao wanaita "Malavi" uhusiano wa Tanganyika ni wa damu kwani ukifika mikoa ya jirani kama Ruvuma, Mbeya Rukwa, Iringa utawakuta wananchi toka Malawi ambao ni wenyeji sasa wa Tanzania.

Ugomvi uliopo sasa hivi ni sawa na mwanaume aliyeoa wanawake wanne kwa mfano, sasa baada ya familia hii kupoteza wazazi wote wawili watoto wanaorithi kuongoza familia hii bila kuwa na misingi imara ya uongozi wanataka kugawana mirathi kwa nguvu wakati suala lilikuwa ni kufanya mali zote kama mali ya familia, huo ni upande wa Malawi. Upande wa Rwanda ninaweza kumlinganisha Kagame na mtoto ambaye kabla ya kufariki wazazi alikuwa akideka sana, na bila shaka mnatambua athari za mtoto aliyedekezwa hua ni ipi. Mtoto aliyedekezwa huwa hapendi kuonywa, kurekebishwa au kusahihishwa ama na wenzie au na jamii, hapa huyu ni Kagame.

Siyo vibaya kukatokea wapanishi wenye busara wakasuluhisha migogoro hii ambayo kwa sasa inashinikizwa na mataifa ya nje kwa maslahi ya utandawazi kuimarisha ukoloni mamboleo.
 


Hakika uko sahihi, kabla ya Berlin Conference mwaka 1884 Africa ilikuwa haina mipaka bali koo tofauti zilimiliki maeneo kama prestige zao na kwa kukuhakikishia hilo tunaweza kuangalia baadhi ya maneno katika lugha za Waafrika, chukua neno "Mtu" wengine watasema "muntu", "Ntu", "Munu", "Buntu" na kadhalika. Kuhusu Rwanda nikianzia hapo kabla ya huo mkutano wa Berlin Rwanda ilikuwa ni Tanganyika ikiwamo na Burundi pia. Malawi ambalo ni jina la asili kabisa Wazungu waliita Nyasaland baada ya uhuru ikalirudia jina lake la asili la Malawi wao wanaita "Malavi" uhusiano wa Tanganyika ni wa damu kwani ukifika mikoa ya jirani kama Ruvuma, Mbeya Rukwa, Iringa utawakuta wananchi toka Malawi ambao ni wenyeji sasa wa Tanzania.

Ugomvi uliopo sasa hivi ni sawa na mwanaume aliyeoa wanawake wanne kwa mfano, sasa baada ya familia hii kupoteza wazazi wote wawili watoto wanaorithi kuongoza familia hii bila kuwa na misingi imara ya uongozi wanataka kugawana mirathi kwa nguvu wakati suala lilikuwa ni kufanya mali zote kama mali ya familia, huo ni upande wa Malawi. Upande wa Rwanda ninaweza kumlinganisha Kagame na mtoto ambaye kabla ya kufariki wazazi alikuwa akideka sana, na bila shaka mnatambua athari za mtoto aliyedekezwa hua ni ipi. Mtoto aliyedekezwa huwa hapendi kuonywa, kurekebishwa au kusahihishwa ama na wenzie au na jamii, hapa huyu ni Kagame.

Siyo vibaya kukatokea wapanishi wenye busara wakasuluhisha migogoro hii ambayo kwa sasa inashinikizwa na mataifa ya nje kwa maslahi ya utandawazi kuimarisha ukoloni mamboleo.
Umenikosha sana bubu BUBU MSEMA OVYO.
 
Ni ndugu zenu kwa vipi? Na nyie ni kina nani? Chokochoko wameanza wenyewe sasa sisi wa Tanganyika hatuwezi kukaa kimya tutapambana nao. Wao ni wanyarwanda na wanyasa na sisi ni watanganyika. Undugu unatoka wapi?
Habarini za mwisho wa wiki.
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo. Ndugu zangu napenda kuwaombeni
kuwa mizozo ya wanasiasa isitufanye tuvunje uhusiano wetu na wanyarwanda
na Wamalawi. Siku zote napenda mufahamu kuwa hawa wanasiasa wa Afrika sio
wa kuwashabikia sana kwani wako tayari kufanya mambo yatakayowanufaisha
watu kutoka nje ya bara la Afrika huku wakiwaacha Waafrika wenzao katika hali
mbaya ya kiuchumi.

Hii mizozo tuwaachie viongozi sisi tuendelee na mambo yetu likitokea jambo lolote
wao huwa wa kwanza kukwea Ndege huku wakipokelewa na baadhi ya mataifa
kama wakimbizi waheshimiwa, lakini sisi tunaogombana wenyewe kwa wenyewe
tunaishia kufunikwa na mahema huku tukiwa hatuna hata uhakika wa chakula.

AFRIKA NI MOJA, WAAFRIKA NI WAMOJA.... MIPAKA ILIYOWEKWA NA WAZUNGU
ISITUGAWE.
 
Ni ndugu zenu kwa vipi? Na nyie ni kina nani? Chokochoko wameanza wenyewe sasa sisi wa Tanganyika hatuwezi kukaa kimya tutapambana nao. Wao ni wanyarwanda na wanyasa na sisi ni watanganyika. Undugu unatoka wapi?
Haswaaaa...........tena kinachoshangaza hivi vijamaa vikiwa vinatuchokoza sisi Watanzania wengine wanashangilia na kushabikia kwellikweli.Sasa Watanganyika tukianza kujibu mapigo kwa strong evidence utasikia ooh "uchonganishi" mara "upuuzi" mara "hayatuhusu". Nilichokuja jifunza hapa ni kuwa humu JF kuna Mamluki wengi na Wanafiki kibao.
MKUU pamoja na ubovu wa viongozi wetu tulionao, lakini heshima ya Tanzania lazima ilindwe.......atakaye anzisha Thread za kuichafua Tanzania atajibiwa kwa nguvu zote maana sisi Hatuweki vitu vya kusadikika, tunaweka ukweli wenye ushahidi....waendelee tu wataamini haya ninayo andika.
 
Heeeh! Utaifa kwenda kwa mbele!!! Kwenye utaifa tunaacha tofauti zetu za kisiasa. Tanganyika a.k.a Tanzania ni MOJA!!
Haswaaaa...........tena kinachoshangaza hivi vijamaa vikiwa vinatuchokoza sisi Watanzania wengine wanashangilia na kushabikia kwellikweli.Sasa Watanganyika tukianza kujibu mapigo kwa strong evidence utasikia ooh "uchonganishi" mara "upuuzi" mara "hayatuhusu". Nilichokuja jifunza hapa ni kuwa humu JF kuna Mamluki wengi na Wanafiki kibao.
MKUU pamoja na ubovu wa viongozi wetu tulionao, lakini heshima ya Tanzania lazima ilindwe.......atakaye anzisha Thread za kuichafua Tanzania atajibiwa kwa nguvu zote maana sisi Hatuweki vitu vya kusadikika, tunaweka ukweli wenye ushahidi....waendelee tu wataamini haya ninayo andika.
 
Hakuna cha undugu wala nini hawa wakiendelea kuleta us.enge wao ni kuwapiga tu maana tumewachoka.
 
Hakuna cha undugu wala nini hawa wakiendelea kuleta us.enge wao ni kuwapiga tu maana tumewachoka.

Tena hakuna kuuma maneno na ikibidi tutaanza kumchambua mmoja baada ya mwingine kujua urai wake maana njia ya kuwabaini ni raisi sana....This is TZ bwana Wakileta propaganga zitajibiwa kwa nguvu zote.
 
Habarini za mwisho wa wiki.
Ni matumaini yangu kuwa hamjambo. Ndugu zangu napenda kuwaombeni
kuwa mizozo ya wanasiasa isitufanye tuvunje uhusiano wetu na wanyarwanda
na Wamalawi. Siku zote napenda mufahamu kuwa hawa wanasiasa wa Afrika sio
wa kuwashabikia sana kwani wako tayari kufanya mambo yatakayowanufaisha
watu kutoka nje ya bara la Afrika huku wakiwaacha Waafrika wenzao katika hali
mbaya ya kiuchumi.

Hii mizozo tuwaachie viongozi sisi tuendelee na mambo yetu likitokea jambo lolote
wao huwa wa kwanza kukwea Ndege huku wakipokelewa na baadhi ya mataifa
kama wakimbizi waheshimiwa, lakini sisi tunaogombana wenyewe kwa wenyewe
tunaishia kufunikwa na mahema huku tukiwa hatuna hata uhakika wa chakula.

AFRIKA NI MOJA, WAAFRIKA NI WAMOJA.... MIPAKA ILIYOWEKWA NA WAZUNGU
ISITUGAWE.

Tayari tushagawanywa ni vigumu kuigeuza hiyo dhana
 
Sijui waafrica lini tutajiamini tuache kumsingizia mkoloni kila kitu! Kwani sisi hatuna akili mpaka tupiganishwe kama kuku? Mi nadhani tukubali ukweli kwamba waafrica hatujawahi kuwa wamoja tangu enzi hizoooo za karne ya 12. Historia inatufundishwa kwamba zamani kila chief alikua ni kuonesha ubabe kwa mwenzie na kila mara ilikua ni kupigana tu! Tena hili ndio hasa lilitufanya tukatawaliwa kiurahisi kwasababu chief alikua akiambia atasaidiwa kumpiga mwenzie basi anatoa ushirikiano ambao ulipelekea kunyanyaswa baadae. Bado historia inatutafuna ila tunaelekea kustaarabika.

Swala ya Kagame ni dogo sana wala halina issue! Tunamkuza tu bila sababu. Kigongo ni swala la malawi kwamaana sioni uwezekano wetu kukubali kipande cha nchi ambacho tumekimiliki tangu uhuru kichukuliwe bila damu za watu kuvuja, ukizingatia kwamba huo mkataba ambao Malawi wanataka utumike kuonesha mpaka, unatambua kwamba baadhi ya wilaya za Mbeya ni mali yao!
 
Haswaaaa...........tena kinachoshangaza hivi vijamaa vikiwa vinatuchokoza sisi Watanzania wengine wanashangilia na kushabikia kwellikweli.Sasa Watanganyika tukianza kujibu mapigo kwa strong evidence utasikia ooh "uchonganishi" mara "upuuzi" mara "hayatuhusu". Nilichokuja jifunza hapa ni kuwa humu JF kuna Mamluki wengi na Wanafiki kibao.
MKUU pamoja na ubovu wa viongozi wetu tulionao, lakini heshima ya Tanzania lazima ilindwe.......atakaye anzisha Thread za kuichafua Tanzania atajibiwa kwa nguvu zote maana sisi Hatuweki vitu vya kusadikika, tunaweka ukweli wenye ushahidi....waendelee tu wataamini haya ninayo andika.

Sio wanafiki, wamechoshwa hapa walipofikishwa na serikali ya CCM, sasa wakiongezewa na
mzigo mwingine wa vita linakuwa jambo zito zaidi, maana watafanya kazi ya kulinda Rasirimali
ambazo zinawanufaisha wachache. WEE....Inawezekana uko sehemu nzuri hivyo hujui mateso
na machungu tunayoyapata wenzako.
WAKIMBIZI-TZ1.jpg
Hawa ni waafrika wenzetu(wanyarwanda), uchu wa madaraka wa viongozi
wa Kiafrika umewafikisha hapa.The majority of so-called Africans leaders want
to stay in power until the day their bodies are put in the grave.
 
Back
Top Bottom