Rwanda MPs approve third term for Paul Kagame

Rwanda MPs approve third term for Paul Kagame

mnasubilia wakimbizi siyo???haaaa!mi kwanza naona hata akili yenu mataputapu kabisa,third term siyo tatizo kwangu mimi mnyarwanda,inakuuma wapi wewe kama nimtanzania????kama unahitaji wanariadha chukueni hao wa rafiki yenu NKURUNZIZA boya lenu!!!naona mnafurahishwa na kuona watu wanachinjana na wengine damu zikimwagika,nyie endeleeni kuimbia taifa kubwa tu huku viongozi wenu wakijinufaisha bila maendeleo yoyote,naona mmekaza mishipa mnasubilia kutuona tukikimbilia kwenu kwa sababu ya mhula wa tatu,Hahahaha...mtapasuka,tunajuwa tulipo toka,tulipo na tunakoelekea siyo wewe unakopeshwa viloba vya vibandani huko.

Unaandika kiswahili au kifaransa?
 
Back
Top Bottom