MK254
JF-Expert Member
- May 11, 2013
- 33,511
- 53,473
- Thread starter
- #21
Mada inahusu Viongozi kuheshimu ukomo Uongozi uliowekwa kikatiba ndiyo nikasema nijuavyo mimi ni TanZania tu hapa Afrika ndiyo inaheshimu mpaka sasa hivi ukomo wa Uongozi tuliojiwekea Kikatiba!
Hayo mengine uliyoandika kuhusu demokrasia ya Kenya au TanZania ni mada nyingine kabisa unaweza kuanzisha uzi halafu tukutane huko!
Kwani ni wapi uliona kiongozi Kenya akikiuka ukomo wa uongozi kulingana na katiba ya Kenya, fuatilia historia ya Kenya upate kujitaarifu. Nimesema sisi ndio tunafaa kuigwa maana tumefaulu kufanya ambayo kwa wenzetu ni ndoto.