GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 57,157
- 110,630
Huu ndio tunaita ubaguzi wa rangi.
ni kweli mkuu ,lakin algeria, misri na sudan wana mpango wa kununua S-400 hvyo haitakuwa ajabu nchi yoyote ya ukanda huu kuja kufny hvyo hapo baadae pia jua kwamba urusi hana restrictions saana linapokuja swala la kuuza silaha kama unavyosema, japokuwa naamin hawana mpango wa klununua S-300 lakin system yoyote watakayonunua still itakuwa advanced sana kwa ukanda huu, air defense systems ambazo zinazalishwa na urusi kwa sasa zote ziko advanced hata hizi pantsir missile system. lakin haya waliongea tu kwe mkutano wa mawaziri wao wa mambo ya nje ni kawaida kwa viongoz wanapokutana kuongea mambo mengi ambayo huishia tu hewan mkuu
yeah ni kweli kabisa mkuu, ngoja muda upite kdg pengne yanaweza kujitokeza mambo ambayo yataleta mwanga tukafaham zaidi hili jambo, pia nadhan S-200 ni fair na haitajijeopardize hali ya mambo katika eneo hiloiHABARI,
"nankumene,
Umesema vema kwakuwa hata china wameuziwa mwaka huu ila waliomba toka mwaka 2014 na lazima nchi kama india na mhi za africa kununa kwani ndege zetu nyingI sio advance kama zao nyingi ni cHAPA za MIG na su-30 kwa S-200 inazitosha sana.
LUMUMBA
Au wayahudi weusi Hawa.....hatari sana jamaa wana uhusiano mzuri sana wa kijeshi na israel na sasa wanaimarisha na Urusi, haka kanchi kana ambitions za hatari sana mi sina imani nao kabisa hawa jamaa
Kinachoangaliwa ni maslai ya pk kama walivo wakoloni weusi wote na si maslai ya wananchi wa chini ambao wananuka umasikinihatari sana jamaa wana uhusiano mzuri sana wa kijeshi na israel na sasa wanaimarisha na Urusi, haka kanchi kana ambitions za hatari sana mi sina imani nao kabisa hawa jamaa
Su-30 wtfHata Uganda wsmeuziwa SU-30 ila hstusikii wanajitapa
Sijaelewa ni kwamba hutaki au umekubali ila umepigwa na bumbuwazi?Su-30 wtf
Udikteta na maendeleo wapi na wapi,udikteta pacha wake umasikini kwa wengi ili iwe rahisi kuwatawala, ni rahisi kumtawala masikini.Kagame jinga sana. Ka nchi kadogo vile anaanza kuhangaika na expensive air defence systems
Badala ya kuwekeza kwenye economy yuko bize anapoteza pesa
Watauziwa pantsir S1 labda japo pia hata hii sina uhakika kama watauziwa,Ila S-400 sidhani mkuu,kuna issue za Miliary balance of power kati ya nchi za dunia hii ya kwetu.Sidhani kama wataruhusu nchi moja kuwa na Power kubwa kiasi hicho.Wanajua akili zetu waafrica ndo maana huwa wanaishia kutuuzia vifaru na mabomu madogo madogo mkuu.hahahaa mkuu si ndo wanaanza taratibu na S-200 taratibu miaka 15 au 20 baadae watanunua S-400 au haiwezekani?
Kabisa mkuu na tunavyopenda kunyenyekewa unaweza kushangaa kagame anaanza kupelekesha wenzake kisa nguvuWatauziwa pantsir S1 labda japo pia hata hii sina uhakika kama watauziwa,Ila S-400 sidhani mkuu,kuna issue za Miliary balance of power kati ya nchi za dunia hii ya kwetu.Sidhani kama wataruhusu nchi moja kuwa na Power kubwa kiasi hicho.Wanajua akili zetu waafrica ndo maana huwa wanaishia kutuuzia vifaru na mabomu madogo madogo mkuu.
Ss tunazo ngapSijaelewa ni kwamba hutaki au umekubali ila umepigwa na bumbuwazi?
Uganda
Ugandan Air Force ordered 6 Su-30MK2s in 2010.[95][96] The last 2 aircraft from the order were delivered in June 2012.[97]
Hiyo wikipedia na sio Museveni tu hats Angola na Algeria wana hizo mashine
lakin algeria,misri na sudan wana mpango wa kununua S-400 mkuuWatauziwa pantsir S1 labda japo pia hata hii sina uhakika kama watauziwa,Ila S-400 sidhani mkuu,kuna issue za Miliary balance of power kati ya nchi za dunia hii ya kwetu.Sidhani kama wataruhusu nchi moja kuwa na Power kubwa kiasi hicho.Wanajua akili zetu waafrica ndo maana huwa wanaishia kutuuzia vifaru na mabomu madogo madogo mkuu.
Kwani kila siku tunavyowaambieni chezeni na nchi zote na siyo yetu ya Rwanda huwa hamtuelewi? Tayari tuna ukaribu wa Kijeshi na Kiusalama na Marekani na sasa tunaunda na Warusi kisha tutakuja kumalizia kwa Wachina kwani nia na madhumuni tupate ' taste ' za aina tatu za Kimedani / Kivita na mambo ya Kiusalama ili siku nchi kama Tanzania ( japo najua haitatokea kwakuwa tunaheshimiana Kihistoria ) mkileta tu fyoko fyoko bali haraka sana Tanzania yote iwe sehemu na mali halali ya Republic of Rwanda.
Rwanda ndiyo Israel ya Afrika na Watutsi ndiyo Wahayudi wa Afrika.
Long live my lovely, brave and committed President His Excellency Paul Kagame.
Mbona mnawatukuza sana hao wanyarwanda wana nini kipya dunia hii ambacho hakijawahi kuwepo mbona ni wa kawaida sana au hujawahi kufika rwandaDah...a dream jamani...Ila wewe siyo Mnyarwanda, kwani Mnyarwanda wa ukweli hawezi hawezi kuandika hivyo...Wanyarwanda hufikiri kwanza kabla ya kuandika...wako serious...hawaropoki hovyon kama ilivyo kwa watanzania...uliwahi kusikia Myahudi au Muisrael anaropoka ovyo..never.Watanzania ndiyo tabia yao ya uropokaji na majivuno
Good analysis!Kagame akiweza kupata S-300, Basi ana uwezo wa kulinda anga la nchi yake kikamilifu dhidi ya ndege na makombora.
Najua hataishia hapo, baada ya hapo atataka kuwa na Air-force yenye nguvu, ili kucompesate na udogo wa jeshi lake la ardhini interms of man power, na ili pia aweze kuinflict damage kubwa kwa adui ndani kabisa ya mipaka yake kabla adui hajafika kwenye mpaka kuingia Rwanda.
Naihofia Rwanda kitu kimoja, kwa udogo wa nchi hiyo, wanaweza kuopt Offensive Strategy (Kama afanyavyo) Israel ndiyo Strategy ya uhakika ya nchi hiyo kujilinda dhidi ya adui aliyedetermined. Ila Strategy hii inaweza kubackfire kwao kwa sababu hawana GodFather wa kuwakingia Kifua mambo yakiharibika, Israel kwa mfano wana Marekani, na Pia wa Silaha za Nyuklia kama detterance