Ruzuku ya CUF: Maswali matatu matata

Petro E. Mselewa

JF-Expert Member
Dec 27, 2012
10,306
25,929
KWAKUWA CUF yaonekana kugawanyika katika makundi mawili: lile linaloongozwa na Prof. Ibrahim Haruna Lipumba na lile la Maalim Seif Sharrif Hamad,

NA KWAKUWA hadi sasa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa hapa nchini inamtambua Prof. Lipumba kama Mwenyekiti wa CUF wa Taifa na Maalim Seif kama Katibu Mkuu,

NA KWAKUWA CUF ina haki ya kupata ruzuku kulingana na matokeo ya uchaguzi mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani wa mwaka 2015,

NA KWAKUWA kuna shauri Mahakamani ambalo kimsingi ni kama linalolenga kuonyesha uhalali wa uongozi mmojawapo kati ya ule wa Prof. Lipumba na ule wa Maalim Seif,

1. Je, ruzuku ya CUF hulipwa kupitia akaunti gani hasa ambayo ilikuwepo hata kabla ya mgogoro?

2. Je, mamlaka gani ya kichama inaweza kubadili akaunti ya kibenki kwa ajili ya malipo ya kichama?

3. Je, kwanini hakukuwa au hakuna makubaliano ya jinsi ya kupokea ruzuku kati ya pande mbili za mgogoro kupisha kumalizika kwa shauri lililopo Mahakama Kuu?

Mwenye kuweza kuyafikisha haya maswali kwa viongozi wa CUF anaruhusiwa kufanya hivyo kwa ajili ya kujibiwa.
 
Mkuu hoja zako njema sana.

Lakini mimi bado naamini hii ni SCANDAL kubwa na imeonyesha wazi jinsi watawala walivyo wabobezi kwenye matukio ya kuhamisha-hamisha kama ilivyokuwa kwenye EPA na Escrow.

Ngoja tusubiri majibu ya hoja zako Mkuu.
 
Wanachkifany hao viongoz ni tamaa ya hla na co viongiz waadilif ss cjui inkuwj w2 km hwa ukiwpa uwongzi wa nch km chma 2 ni nshida nch itkuwj kwa ctail hii ccm itaongiza kw mda mrfu sna
 
Inawezekanaje Msajili aidhinishe pesa kwa Profesa Lipumba, ambaye inafahamika wazi kuwa alishajiuzulu?

Kama ambavyo Profesa Lipumba 'ameidhinishwa' kufanya mikutano ya kisiasa bila kipingamizi chochote, licha ya Magufuli kupiga marufuku mikutano yoyote ya kisiasa hadi mwaka 2020.

Hili nalo la Msajili kumuidhinishia na kumpa Lipumba pesa ya ruzuku wakati wakijua kabisa kuwa huyo siyo kiongozi halali wa CUF kwa kuwa alishajiuzulu, ndiyo ifahamike wazi kuwa ni serikali hii hii ya awamu ya 5 wakiongozwa na Msajili wa vyama ambao wanaukuza mgogoro huo wa CUF wakiamini kuwa hiyo ndiyo njia pekee ya kumtumia 'mtu wao' Profesa Lipumba ili aweze kuinyonga CUF!
 
Suala la pesa CUF nadhani waachiwe CUF wenyewe, wanachogombania wamakijua huku Makundi yote Mawili yakichota FEDHA kwa nyakati tofauti!!!
Na sisi humu tunatetea kundi moja kuchota FEDHA na si jingine.

Pesa akiiba LIPUMBA / MAALIM sawa akiiba mwingine si sawa!!!!
Tujihoji na sisi wenyewe, tunasimamia maadili ama tumebebwa na mapenzi??????
Tuweke mapenzi pembeni.... MAALIM kachota FEDHA, LIPUMBA naye kachota fedha,
Tukae katikati aidha kuyaonya yote ama kuyasifia yote
 
Wanachkifany hao viongoz ni tamaa ya hla na co viongiz waadilif ss cjui inkuwj w2 km hwa ukiwpa uwongzi wa nch km chma 2 ni nshida nch itkuwj kwa ctail hii ccm itaongiza kw mda mrfu sna
Unapata wapi nguvu ya kusema hivyo wakati ccm ndio wanaohusika na huu utoroshaji???
 
KWAKUWA CUF yaonekana kugawanyika katika makundi mawili: lile linaloongozwa na Prof. Ibrahim Haruna Lipumba na lile la Maalim Seif Sharrif Hamad,

NA KWAKUWA hadi sasa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa hapa nchini inamtambua Prof. Lipumba kama Mwenyekiti wa CUF wa Taifa na Maalim Seif kama Katibu Mkuu,

NA KWAKUWA CUF ina haki ya kupata ruzuku kulingana na matokeo ya uchaguzi mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani wa mwaka 2015,

NA KWAKUWA kuna shauri Mahakamani ambalo kimsingi ni kama linalolenga kuonyesha uhalali wa uongozi mmojawapo kati ya ule wa Prof. Lipumba na ule wa Maalim Seif,

1. Je, ruzuku ya CUF hulipwa kupitia akaunti gani hasa ambayo ilikuwepo hata kabla ya mgogoro?

2. Je, mamlaka gani ya kichama inaweza kubadili akaunti ya kibenki kwa ajili ya malipo ya kichama?

3. Je, kwanini hakukuwa au hakuna makubaliano ya jinsi ya kupokea ruzuku kati ya pande mbili za mgogoro kupisha kumalizika kwa shauri lililopo Mahakama Kuu?

Mwenye kuweza kuyafikisha haya maswali kwa viongozi wa CUF anaruhusiwa kufanya hivyo kwa ajili ya kujibiwa.
inasikitisha kuona kuwa watu wamepewa dhamana ya kulinda amani ya nchi yetu lakini wao kwa sababu wanazozijua wenyewe wanataka kutuvuruga kwa kutugawa katika vipande vipande.

ninaamini hata shetani anawashangaa na kupata hofu ya kupinduliwa baada ya kuona watu wanafanya uovu ambao umezidi viwango alivyoviweka!
 
Jamani acheni uwongo. Ni wapi upande wa maalimu seifu wamekiri kuwa walichota milioni 80 au tunashika maneno ya kuambiwa ya Kambi hasimu ya lipumba?
Lkn upande wa pili wamekiri wenyewe kuwa ni kweli wameuchukua. Kambaya alete ushahidi kama alivyoleta mtatiro kuthibitisha madai hayo.
Huo ni wizi wa mchana
 
Watu wanachanganya mambo tu. Hata Seif anajua kuwa kuna kosa lilifanyika katika kujihuzuru kwa Lipumba.

Hili kosa linapa Lipumba haki nyingi sana kuliko Seif.

Mfano Seif hupendekezwa na Mwenyekiti kuwa Katibu Mkuu na yeye hupitishwa tu na mkutano ila Lipumba alichaguliwa.

Hivyo, mwenye mamlaka ni aliyechaguliwa.

Pia kungekuwa na demokrasia kule CUF, Lipumba ana haki ya kuteua mtu mwingine kushika nafasi ya Seif siku yoyote na wakati wowote.

Kitu ambacho Seif amekosa juu ya Mwenyekiti.

Sasa, RUZUKU YA NANI?

Kwa hali iliyopo kule CUF ni ya Lipumba anayetambuliwa na msajili wa vyama vya siasa. Ikumbukwe Seif anatumwa na Mwenyekiti na si yeye kumtuma mwenyekiti.
 
Watu wanachanganya mambo tu. Hata Seif anajua kuwa kuna kosa lilifanyika katika kujiu
huzuru kwa Lipumba.

Hili kosa linapa Lipumba haki nyingi sana kuliko Seif.

Mfano Seif hupendekezwa na Mwenyekiti kuwa Katibu Mkuu na yeye hupitishwa tu na mkutano ila Lipumba alichaguliwa.

Hivyo, mwenye mamlaka ni aliyechaguliwa.

Pia kungekuwa na demokrasia kule CUF, Lipumba ana haki ya kuteua mtu mwingine kushika nafasi ya Seif siku yoyote na wakati wowote.

Kitu ambacho Seif amekosa juu ya Mwenyekiti.

Sasa, RUZUKU YA NANI?

Kwa hali iliyopo kule CUF ni ya Lipumba anayetambuliwa na msajili wa vyama vya siasa. Ikumbukwe Seif anatumwa na Mwenyekiti na si yeye kumtuma mwenyekiti.
Soma katiba ya CUF.........haya unayosema wamewekwa bayana.....vinginevyo..ni ujuma tu kutoka upanda wa pili ... na wewe unalijua hilo..
 
Popobawa wa kule Pemba siku hz hawana nguvu tena,,

Ingekuwa enzi zile popobawa wako vzr kiutendaji badhani mwenyekiti SAA hizi kashakimbia kwa vurugu za wale viumbe wa Pemba.
 
Wanachkifany hao viongoz ni tamaa ya hla na co viongiz waadilif ss cjui inkuwj w2 km hwa ukiwpa uwongzi wa nch km chma 2 ni nshida nch itkuwj kwa ctail hii ccm itaongiza kw mda mrfu sna

Kwani mkuu hujui kuwa aloDEBIT iyo ela toka hazina kinyume kabisa cha taratibu ni hao tulowapa madaraka CCM na serikali yao.
Ivi umesahau kuwa wamekuwa wakiDEBIT sana tangu enzi za uhuru hasa DEBIT ya EPA ni hawa hawa hawa CCM, ikaja ESCROW ni hawa hawa CCM, na hata kumlipa Lugumi ambaye hata kazi hakuwa ameifanya kwa kiwango cha kuridhisha ni hawa hawa CCM na serikali yao.??
Sasa hii aibu ya money laundering ktk sakata la CUF si ni hawa hawa CCM na serikali yao, na mpaka sasa hata TAKUKURU wako kimya sijui ndo mpaka wapate maagizo toka juu??? na uko juu ni mbinguni sijui?? ahya inshallah Ngoja Mola awape maagizo kwani nuru njema kwa hili wala sihioni.
Hivi Mahakama ya mafisadi si ndo faster imepata wateja kwa mpango huu kwani hazina wamefanya money laundering kwa hiki kitendo, Jamani mahakama ya mafisadi ndo kazi mmepata, hii ela ya walipa kodi jamani, ela yetu hii jamani inatolewaje kisanii namna hii??
Hivi kwa mnasaba huu ni kwa nini hata akina Siyoi sumari, Yule CEO wa TRA wa zamani Harry kitilya, na shose senare if I am not mistaken kuwakamata na kuwazuia sero since then wakiwa na ndoo zao za mtondoo mpaka leo???.

Hii ni shame ya hali ya juu kwa CCM na Serikali yake maarufu kwa kutumbua majipu.
......real wanatukatisha tamaa sisi watanzania walipa kodi tulokuwa na tashwishwi hatimaye tushuhudie nchi yetu ikianza, ikijenga viwanda, ikizisaidia na kuzikopesha nchi nyingine fedha zilizofukara kama hii yetu kuwa ni zaidi ya ndoto tu za alinacha.
It's real sad
 
KWAKUWA CUF yaonekana kugawanyika katika makundi mawili: lile linaloongozwa na Prof. Ibrahim Haruna Lipumba na lile la Maalim Seif Sharrif Hamad,

NA KWAKUWA hadi sasa Ofisi ya Msajili wa Vyama vya Siasa hapa nchini inamtambua Prof. Lipumba kama Mwenyekiti wa CUF wa Taifa na Maalim Seif kama Katibu Mkuu,

NA KWAKUWA CUF ina haki ya kupata ruzuku kulingana na matokeo ya uchaguzi mkuu wa Urais, Ubunge na Udiwani wa mwaka 2015,

NA KWAKUWA kuna shauri Mahakamani ambalo kimsingi ni kama linalolenga kuonyesha uhalali wa uongozi mmojawapo kati ya ule wa Prof. Lipumba na ule wa Maalim Seif,

1. Je, ruzuku ya CUF hulipwa kupitia akaunti gani hasa ambayo ilikuwepo hata kabla ya mgogoro?

2. Je, mamlaka gani ya kichama inaweza kubadili akaunti ya kibenki kwa ajili ya malipo ya kichama?

3. Je, kwanini hakukuwa au hakuna makubaliano ya jinsi ya kupokea ruzuku kati ya pande mbili za mgogoro kupisha kumalizika kwa shauri lililopo Mahakama Kuu?

Mwenye kuweza kuyafikisha haya maswali kwa viongozi wa CUF anaruhusiwa kufanya hivyo kwa ajili ya kujibiwa.

HAMNA JAWABU ILA LIPUMBA MAJUZI ALISIKIKA AKILALAMA KWA MKUU WA NCHI KWAMBA NJAAA AMUACHIE HELA..BAADA YA SIKU MBILI KAINGIZIWA PESA.
HIVYO HIO NI AMRI YA JUU , MAMBO YA SHERIA NA KATIBA NA MAHAKAMA WEKA PEMBENI MPAKA 2020 AU 2025..
 
Back
Top Bottom