Kama hamjui😂Ruto is the 5th!
Mlima Kenya na Riftv ni wa Ruto(locked) pamoja na region zengine mingi hustler ako juu,
Kama Azimio hawababaishwi na Ruto mbona basi dynasties na deep state wanaungana kumponda,Ruto ana nguvu kila kona ya nchi ni wimbo ya "Hustler"
Venye uhuru alianguka mara ya kwanza alipo pewa mkono na deepstate hivo ndivo raila ataanguka,
Mimi sio kabila ya Ruto lakini
Ruto lazima atakalia hio kiti,kama Kibaki tulivyo mshikilia akakalia hio kiti,