johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 104,319
- 183,599
Hii ndio taarifa Njema ya Usiku huu
Mlale Unono 😀
Mlale Unono 😀
Tunatafiti kama Katiba Mpya ni Asset au Liability 😂Wazee mpo makini na yanayoendelea kenya,ya nchini kwenu aaah
Una uhakika huyo ni mtanzania?Wazee mpo makini na yanayoendelea kenya,ya nchini kwenu aaah
Kenya kuna domokrasiaUnasapoti Demokrasia ya Kenya wakati hapa Tanzania unasapoti Police State.
Unauliza au unasisitiza?Kenya kuna domokrasia
DOMOkrasiaUnauliza au unasisitiza?
Kwahiyo unataka Dole la Kiislamu?DOMOkrasia
Nataka dole la pilato lililotatua nepi ya mselaKwahiyo unataka Dole la Kiislamu?
Tunatafiti kama Katiba Mpya ni Asset au Liability
Wapi nimesapoti hiyo unayoiita Demokrasia ya Kenya? 😀Unasapoti Demokrasia ya Kenya wakati hapa Tanzania unasapoti Police State.