Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,871
- 155,834
Mwanzo wa ngoma ni lele.
Hata mbuyu ulianza kama mchicha
Hata mbuyu ulianza kama mchicha
Waliyamaliza serikali ya uturuki wanailipa familia ya marehemu,wanagharamia kila kituSidhani sana wana mahusiano hayo mazuri. ukitegemea baada ya lile swala la ndege yake kudunguliwa na rubani wake kuuwawa akiwa anateremka na mwavuli na baada vuta nikuvute chini ya kiburi cha usa, russia walirusha makombora ambay yalilipua misafara ya turkey ambayo ilikuwa ya magendo na baadhi ya raia wa turkey waliuwawa(wanajeshi) sasa sitarajii kuwa kutakuwa na mahusiano mazuri
Mkuu wee unaishi dunia gani? Hujaskia Edorgan alienda Rusia 3 Sep unajua alienda kufanya nini? Siyo lazma waishambulie Turkey kwa mabomu wanawawekea vikwazo tu hadi wanyewe wanapiga magotiMbona ndege ilivyotunguliwa pilot akafa ,hakufanya. Chochote
Unaota, only trump is the world president!!! Make America Great Again!!!Putin.... Rais wa Dunia.!!!
Turkey hausiki, ni mtu amefanya malipizi ya kinachoendelea SyriaPutin lazma afanye jambo!
Namkubali sana huyu mende
Hili tukio huwezi kuilamu serikaliMkuu wee unaishi dunia gani? Hujaskia Edorgan alienda Rusia 3 Sep unajua alienda kufanya nini? Siyo lazma waishambulie Turkey kwa mabomu wanawawekea vikwazo tu hadi wanyewe wanapiga magoti
Tukae mkao wa kumsikia bwana mkuu PutinPutin lazma afanye jambo!
Namkubali sana huyu mende
Ana muhitaji kwa ikiwa mtu mwenyewe kibaraka wa NATOPutin&Erdogan ni marafiki saizi ,urusi anamhitaji sana Turkey
Yaweza ikawa kweli, ila ngoja tuwasikie KGBHayo ni majibu ya Obama kwa Putin Baada wa kuwabambikia Wamarekani Raisi.
USA inahusika moja kwa moja.!
Before the attack happened, a meeting of the Russian, Turkish and Iranian foreign ministers had been planned in Moscow for Tuesday.Hayo ni majibu ya Obama kwa Putin Baada wa kuwabambikia Wamarekani Raisi.
USA inahusika moja kwa moja.!
Ni kweli mkuu, maana wakijaribu kuingilia basi ujue mda si mrefu Washington utasikia imeangukaTutegemee lolote kifo hicho kinaweza kuwapa presha uturuki. erdogan akileta kile kichaa chake kwa putin kwa msaada wa usa nadhani ata kama trump atakuwa uturuki zikianza vita(japo hatutarajii) wamarekani wataondoka tu hawataki kuingia mzozo na russia
Itakuwa hivyo mkuu, ila tungoje bwana Putin atakavyo bwabwajaObama si alitishia kuchukua hatua dhidi ya urusi kwa udukuaji,pengine ndio kisasi chenyewe hicho.
Ndio maana anamnganganiza ajiondoe NATO ,ila tokea mapinduzi Yale uturuki yupo bega kwa bega na urusi...uturuki siyo kama kibaraka na hao NATO ndio wanaomngangania sabb ya urusiAna muhitaji kwa ikiwa mtu mwenyewe kibaraka wa NATO
Turkey alilipa dola billion 9Mbona ndege ilivyotunguliwa pilot akafa ,hakufanya. Chochote
Mkuu hebu nifafanulie jinsi hao makomandoo walivyo msaidia rais wa Turkey asipinduliweWaliyamaliza serikali ya uturuki wanailipa familia ya marehemu,wanagharamia kila kitu
Pia wamelipa ndege
Na saizi mahusiano yao yameimarika December 6 waziri mkuu wa uturuki alikuwa Moscow na baada ya mapinduzi kufeli rais wa uturuki alienda Moscow ,wengi wanadai alienda kumshukuru Putin kwa kumsaidia makomandoo na pia tokea mapinduzi yafeli rais wa uturuki anawalaumu USA tu na kujiegemeza urusi tiyari wamesha resume mahusiano .
KGB ni zamani siku hizi wana FSBYaweza ikawa kweli, ila ngoja tuwasikie KGB