RUSSIA na Ugaidi

Watu huwa wanashindwa kuelewa UISLAMU NA UGAIDI ni vitu viwili tofauti kabisa havishabihiani hata kidogo

propaganda za west ndiyo zinauchafua uislam kwa interest zao mkuu amka usipende kila kitu ushikwe maskio na wamagharibi
sasa mbona wale jamaa wanavokataga vichwa vya watu wanatumiaga neno Allah akbar?
 
sasa mbona wale jamaa wanavokataga vichwa vya watu wanatumiaga neno Allah akbar?
Hata bwana tito anafanya ushetani wake huku akiwa na baibo mkononi lakini haitoshi kusema wakristo wote ni mashetani kwasabab tu umemwona shetani mmoja anafanya ushetani wake akiwa na baibo mkononi.
"Allah Akbar" ni neno la kiarabu tu wala lisikujaze chuki.
 
Nimeipenda ingawa siielewielewi hivi
 
Hujaeleweka kua hiyo ilikua rumor au nn
 
Atleast mkuu unadata za kuelezea siyo wengine wanapwayuka tu hawana lolote
 
Watu huwa wanashindwa kuelewa UISLAMU NA UGAIDI ni vitu viwili tofauti kabisa havishabihiani hata kidogo

propaganda za west ndiyo zinauchafua uislam kwa interest zao mkuu amka usipende kila kitu ushikwe maskio na wamagharibi
Kwahyo hakuna magaid wnye misimamo ya kidini mkuu?
 
Acha upotoshaji putin alisema
"Did Putin ever said "I swear if they bomb Russia, I'll kill every terrorist within 30 minutes " or it was just a rumor which was spread around?
Mi nimeiona iyo post we unaweza tuambia kama ime editiwa au n kwel ashawahi sema
 
Ume-highlight sana story inaonyesha tamu sana natamani kuifaham kwa undani.
 
Watu huwa wanashindwa kuelewa UISLAMU NA UGAIDI ni vitu viwili tofauti kabisa havishabihiani hata kidogo

propaganda za west ndiyo zinauchafua uislam kwa interest zao mkuu amka usipende kila kitu ushikwe maskio na wamagharibi
Wanaokamatwa kwenye tuhuma zote za kigaidi duniani wanadai wanamtumikia "Allah", sasa wengine tunabaki kushangaa huyo Allah wao yeye hana uwezo wa ki-mungu "Divine Power" hadi apiganiwe na magaidi.........??????????? It's very disturbing.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…