kitonsa
JF-Expert Member
- Aug 15, 2011
- 1,211
- 2,636
lugha pamoja na assimilation policy yake tangu ukoloni ,mpaka sasa iyo siasa bado ipo kwenye nchi zinazo ongea kifaransaHawawezi kui-win Africa kwa mtindo huu.
China na America zimetumia biashara na France walitumia lugha.
kila kitu wao ni ufaransa tu, mavazi ,uchumi, kuzamia France, mpira nk ,upo sahihi mkuu