Russia Military base in Mozambique

Hawawezi kui-win Africa kwa mtindo huu.
China na America zimetumia biashara na France walitumia lugha.
lugha pamoja na assimilation policy yake tangu ukoloni ,mpaka sasa iyo siasa bado ipo kwenye nchi zinazo ongea kifaransa
kila kitu wao ni ufaransa tu, mavazi ,uchumi, kuzamia France, mpira nk ,upo sahihi mkuu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom