Russia has imposed an indefinite ban on the export of oil on Europe

SNAP J

JF-Expert Member
Dec 26, 2013
7,079
7,976
Russia has imposed a ban on the export of diesel and gasoline to all western countries, with the exception of only few countries like Armenia, Belarus, Kazakhstan and Kyrgyzstan.

This decision occurs before the beginning of the dark days of winter season therefore it is not random chosen.

Huge pressure and living costs will rise in most of European countries. Like the previous winter, in which $600 billion was lost due to expensive energy of which mostly ended up in Russia's account. This year will be even worse.

:Important:
This is the second time a write this thread.

Pledge moderators don't delete it, unless you are Pro-US ( just kidding)
-------------- -------------- ------------- ------------- ------------
Upadates:

Kwa Wale wasioamini someni hapa

 
Unachekesha sana mwenzako anapeleka watu Mars ashindwe kutengeneza vipuri duniani ?
Soma mambo uelewe usikariri. Hapo Russia kampuni ya Siemens ya Ujerumani ikiamua kufunga vioo na kukataa majukumu yake hao Urusi wanatafutana kwenye miundombinu ya gas na mafuta. Mwaka jana walikuwa na mzozo Siemens ilipozingua kufanya maintenance
Screenshot_20230925-211223~2.png


Alafu lini Urusi ilipeleka watu Mars? Mission yake ya unmanned ya mwaka huu imefeli na walivyokuwa mbiombio kuwatangulia India ambao hawa walikuja kufanikiwa wiki iliyofuata. USSR mara ya mwisho kutuma chombo mwezini ni miaka kama 40 imepita.
 
Russia has imposed a ban on the export of diesel and gasoline to all western countries, with the exception of only few countries like Armenia, Belarus, Kazakhstan and Kyrgyzstan.

This decision occurs before the beginning of the dark days of winter season therefore it is not random chosen.

Huge pressure and living costs will rise in most of European countries. Like the previous winter, in which $600 billion was lost due to expensive energy of which mostly ended up in Russia's account. This year will be even worse.

:Important:
This is the second time a write this thread.

Pledge moderators don't delete it, unless you are Pro-US ( just kidding)
Mchawi lugha
 
Unachekesha sana mwenzako anapeleka watu Mars ashindwe kutengeneza vipuri duniani ?
Boss, uwekezaji katika masuala ya anga si ishara kuwa nchi inajiweza kwenye mambo mengine. India wana satelite yao ila wana wananchi masikini na wasioweza kuwahudumia majii safi na salama. Tanzania tulishawahi kununua rada na hatukuwa na madawati. Marekani imepeleka vyombo mpaka anga za mbali na hapo kwake homeless wanaolala mtaani wapo.
 
Back
Top Bottom