Si sahihi hata kidogo. Ni kweli askari anaweza kuwa kampenda huyo mdada ila katika mazingira haya ni moja kwa moja itaonekana ana andaa mazingira ya rushwa ya ngono.si sahihi njia anayoitumia huyo askari polisi
amkubalie tu, ila aandae takukuru amfanyie kama yule mwalimu wa NIT!! ANA GUTS!! Ili huyo aksari kicheche ajifunze.Wadau harini
Nawaomba msaada kupanua uelewa wangu juu ya swala la rushwa ya ngono.mazngra yake yanakuaje kufkia kuitwa rushwa ya ngono iwe kuomba au kutoa?
Ni hiv mdogo wangu ameibiwa laptop akiwa hostl chuo fulani hapa tz. Amekwnda kuripoti polis na utaratibu ukafuatwa vzr na kupatiwa mpelelezi wa kesi yake. Askari mpelelez ameendelea na kaz yake na mtuhumiwa yuko nje kwa dhamana.leo tar 24 januari 2017 mdogo wangu alitakiwa kufika kituoni hpo na akaonana na mpelelezi kisha mpepelezi akamwambia upelelezi umekamilika na kesi itakwnda mahakamani.hvyo yeye yan mdogo wangu ambae ndo mlalamikaji arudi chuo atataarifiwa juu ya tarehe ya kufika mahakamani.
Lakin alipotoka yule mpeleĺezi ameanza kumtongoza. Sasa kwakua hyu ndiye mcmamiz wa kesi na anaomba mapenz katika mazngra haya ingawa hajasema straight kwamba akikataliwa hatatoa ushirikiano, je co kwmba anaomba rushwa ya ngono ili asimamie vzr kesi ya mdogo wangu?
Naombeni mnisaidie nataka kumwambia dgo aachane na hyo kesi kwasabu mwelekeo wake nau'dought sn kwa sasa baada ya haya na ushahid kwa kumtongoza upo
safi sana good point. kama angemkubalia asingesema!!Huyo dadako anawenge sasa siakatae tu kuna ulazima gani wakukuambia mambo ya aibu kama haya.
ndio rushwa yenyewe hiyo sasa kwani alimjulia wapi kama sio kwenye hiyo kesi na jinsi ninavyojua ukiona dada kakuambia fulani kanitongoza ujue kabisa ameliwa au yupo mbioni kumkubalia aliwe...Wadau harini
Nawaomba msaada kupanua uelewa wangu juu ya swala la rushwa ya ngono.mazngra yake yanakuaje kufkia kuitwa rushwa ya ngono iwe kuomba au kutoa?
Ni hiv mdogo wangu ameibiwa laptop akiwa hostl chuo fulani hapa tz. Amekwnda kuripoti polis na utaratibu ukafuatwa vzr na kupatiwa mpelelezi wa kesi yake. Askari mpelelez ameendelea na kaz yake na mtuhumiwa yuko nje kwa dhamana.leo tar 24 januari 2017 mdogo wangu alitakiwa kufika kituoni hpo na akaonana na mpelelezi kisha mpepelezi akamwambia upelelezi umekamilika na kesi itakwnda mahakamani.hvyo yeye yan mdogo wangu ambae ndo mlalamikaji arudi chuo atataarifiwa juu ya tarehe ya kufika mahakamani.
Lakin alipotoka yule mpeleĺezi ameanza kumtongoza. Sasa kwakua hyu ndiye mcmamiz wa kesi na anaomba mapenz katika mazngra haya ingawa hajasema straight kwamba akikataliwa hatatoa ushirikiano, je co kwmba anaomba rushwa ya ngono ili asimamie vzr kesi ya mdogo wangu?
Naombeni mnisaidie nataka kumwambia dgo aachane na hyo kesi kwasabu mwelekeo wake nau'dought sn kwa sasa baada ya haya na ushahid kwa kumtongoza upo
Ni mke wa mtu tayari na askari pia ana familia.kwa sasa mumewe yuko masomoni nje ya nchi.
Lakin pmja na hayo mkuu unadhan ni sahihi kumtaka dem wakat ana matatzo na una nafasi ya kumsaidia? Angalau bas angesubiri kesi iishe.kwa mazngra hayo huoni kama akikataliwa hatatoa ushrikiano kikamilifu?
Wewe takukukuru???Mpka ameniambia manake hayuko tayar.sikukipenda hki kitendo so km ningkua na uelewa juu ya mambo ya rushwa ya ngono ningjua chakufanya nakerwa sn na utendaji kazi na namna hii wa kumnyanyasa mtu kisa una nafas ya kumsaidia.
Washirikishe TAKUKURU mkuu watakomesha tabia hiyo mbaya sana. Na watu wanaoandika Mambo ya upuuzi humu nawashangaa sana
Kwani ina speed O meter?Wadau habarini,
Nawaomba msaada kupanua uelewa wangu juu ya swala la rushwa ya ngono. Mazingra yake yanakuwaje kufikia kuitwa rushwa ya ngono iwe kuomba au kutoa?
Ni hivo, mdogo wangu ameibiwa laptop akiwa hostel chuo fulani hapa Tanzania. Amekwenda kuripoti polisi na utaratibu ukafuatwa vizuri na kupatiwa mpelelezi wa kesi yake. Askari mpelelezi ameendelea na kazi yake na mtuhumiwa yuko nje kwa dhamana.
Leo tar 24 januari 2017 mdogo wangu alitakiwa kufika kituoni hpo na akaonana na mpelelezi kisha mpepelezi akamwambia upelelezi umekamilika na kesi itakwnda mahakamani hivyo yeye yani mdogo wangu ambae ndo mlalamikaji arudi chuo atataarifiwa juu ya tarehe ya kufika mahakamani.
Lakini alipotoka yule mpeleĺezi ameanza kumtongoza. Sasa kwakua huyo ndiye msimamizi wa kesi na anaomba mapenzi katika mazingira haya ingawa hajasema straight kwamba akikataliwa hatatoa ushirikiano, je sio kwamba anaomba rushwa ya ngono ili asimamie vizuri kesi ya mdogo wangu?
Naombeni mnisaidie nataka kumwambia dogo aachane na hiyo kesi kwasababu mwelekeo wake nau'dought sana kwa sasa baada ya haya na ushahidi wa kumtongoza upo.