Rushwa kwenye usaili

hnp

JF-Expert Member
Joined
Dec 4, 2020
Posts
276
Reaction score
475
Habari za saiz wadau,

Hivi ni kweli swala la rushwa lipo wakati wa usaili wa kupata kazi? Yaani kwa mwajiri kwenda kwa mwajiriwa au kutoka kwa mwajiriwa kwenda kwa mwajiri? Mfano wa rushwa izo ni ngono na pesa ili mtu apate kuajiriwa, hii kitu bado ipo kweli wanaJF?

Karibu tujadili.
 
Ipo hiyo haipingiki mkuu
 
Iyo kitu haitaisha hadi yesu arudi duniani..
 
Dah!! Nipo najiandaa kwenda kwenye usaili ila napata mchecheto maana tupo zaidi ya watu 200 afu tunawania nafasi moja, can you imagine!!
Hiyo ni gombania goli mkuu... Jiandae vzur
 
Reactions: hnp
Dah!! Nipo najiandaa kwenda kwenye usaili ila napata mchecheto maana tupo zaidi ya watu 200 afu tunawania nafasi moja, can you imagine!!
Kama mpo 200 basi jua hao washaandaa mtu wao hapo wanakamilisha ratiba tu!
 
Reactions: hnp
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…