Mwanongwa
Senior Member
- Feb 15, 2023
- 170
- 203
Kituo cha kulea vipaji cha Rungwe youth sports center kilichopo wilayani Rungwe mkoa wa Mbeya kimeingia mkataba na klabu ya @azamfcofficial kwaajili ya kulea Vijana wnye vipaji ambao baadae watakuja kusajiliwa na timu hiyo pamoja na timu zingine hapa nchini na nje ya nchi.
Mkataba huo umesainiwa na Mkurugenzi wa kituo hicho ndugu Alex Mwambipile ambaye ni mchezaji wa zamani wa Tukuyu Stars pia amewahi kuifundisha Tukuyu stars,pamoja na viongozi wa Azam fc.
Mkataba huo umesainiwa na Mkurugenzi wa kituo hicho ndugu Alex Mwambipile ambaye ni mchezaji wa zamani wa Tukuyu Stars pia amewahi kuifundisha Tukuyu stars,pamoja na viongozi wa Azam fc.