Ruge vs Mengi

Status
Not open for further replies.
Hivi unajua Mengi kasaidia watu wangapi? Kama pesa anazo unataka asaidie nini sio Kila mtu anahitaji msaada wa ideas.Kuna watu ni watoto yatima wanahitaji msaada wa kusomeshwa mpaka chuo kikuu na Mengi kawasaidia wengi tu,hawa hata ukiwapa idea hautasaidia lolote.

Mengi katoa ajira kwa mamia ya watanzania, hata ideas katoa Sana labda Kama ulikuwa humfatilii.Ruge was good in search but Mengi was the best usichanganywe na porojo za fursa.
 
La hasha....sio ra hasha mkuu Mtapenda
 
Nadhani wewe ndo hunielewiii...!! Sema anyway wapumzike kwa amani... wote waliitenda kazi vyemaa...
 
Binadamu wa kitanzania ni tofauti sana na mataifa mengine mind zs watz zimelala mno tena fofofoooo sijui huwa wanawaza nini???
 
Msiba wa Ruge ulitikisa zaidi kwa kuwa yule alikuwa bado ni kijana sana, wa mzee mengi unaeza usiufikie ule kwa kuwa alikuwa kashakula chumvi nyingi zaidi. Ila kwa suala la mchango kwenye jamii Mengi mchango wake ni mkubwa sana ukilinganisha na Ruge.
 
Msiba wa Ruge ulitikisa zaidi kwa kuwa yule alikuwa bado ni kijana sana, wa mzee mengi unaeza usiufikie ule kwa kuwa alikuwa kashakula chumvi nyingi zaidi. Ila kwa suala la mchango kwenye jamii Mengi mchango wake ni mkubwa sana ukilinganisha na Ruge.
SIO KIJANA BHANA!!!!!
WALIFANYA MARKETING KUUUUBWA SAANA MAANA WALISIMAMISHA VIPINDI VYOOOTE KASORO MATANGAZO YA BIASHARA TU.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…