Ruge vs Mengi

Status
Not open for further replies.
Ruge ni ruge na mengi ni mengi...kila mmoja efanya kwa nafasi yake kwenye hii dunia
kweli mkuu ila walikua na influence kubwa katika jamii sasa nataka kuona muitikio wa jamii kwa huyu mzee maana anajulikana sana na kafanta mengi sana kwa jamii
 
Mengi ni zaidi ya Ruge kwa kila eneo. Mengi alikuwa Tajiri ziadi, alikuwa anatoa misaada Zaidi, ametoa ajira Zaidi na ameishi miaka mingi na pia alikua anaoa kihalali

Acha mahaba kihalali!!
Alipotengana na MKE wa kwanza hakupaswa kuoa Tena kwa mujibu wa Dini Yake.

Badala Yake alifunga ndoa nyingine nje ya Nchi na mjukuu.
Hivyo hiyo ndoa kwa Dini siyo halali
 
Acha mahaba kihalali!!
Alipotengana na MKE wa kwanza hakupaswa kuoa Tena kwa mujibu wa Dini Yake.

Badala Yake alifunga ndoa nyingine nje ya Nchi na mjukuu.
Hivyo hiyo ndoa kwa Dini siyo halali
Ndoa ni ndoa tu iwe ya kidini, ya nje ya nchi, ya kimila, ya kiserikali n.k ni ndoa tu na mke anakuwa halali
 
ITV,EA RADIO, EATV, RADIO ONE wakiamua kufanya walicho fanya clouds msiba utafunika wa ruge harafu tatizo watangazaj wa kule wengi watu wazima hawan promo kama za clouds
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…