miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,821
- 48,973
ha ahahaha ha nicheke tu
Elfu tano ya supu nyingi hivyo kwani supu ya ngamia? Hata buku jero ya supu utumbo yaweza hana.Ndiyo mana maisha yanazidi kuwa magumu kwa kuwa na watu kama wewe,
Isikute hapo hata 5000 ya supu huna, huku umekaza shingo kushupalia mambo ya watu!!!
Deal with itI hate clouds fm
Naskia hadi kichefu chefu yani nikisikia jina clauzDeal with it
Kukodishwa Kwenye Maandamano Ya BavichaaWewe unafanya kazi gani?
Let's say anauza duka, so what?Wewe unafanya kazi gani?
Ila Wakitajwa Tu Lazima Ufungue Fasta Uje Kuona Kuna Nini - Roho Zingine Mizigo MizitoI hate clouds fm
Naona uwongo umekuzidi uzito mpaka umekuwangusha!hiyo Party imeandaliwa na Wcb wenyewe kwa udhamini wa Vodacom na wala sio Ruge..labda kama kuna deal nyingine inakuja kati ya Clouds na WCB ila sio hili la Wasafi beach partyAisee mecheka, kumbe host mwenye shoo ya WCB wasaf beach part ni clouds ikiongozwa na Ruge, ubuyu huo nimepata kwa kwa mtu wa karibu wa Ruby, mana naskia ruby alitaka kushriki bure kabisa lakini ruge aliwakatalia wasaf classic.
Nilichojifunza inawezekana kweli ruge ni mtu wa fursa na ideas za kumake money.aliwapa idea wasafi ya beach part, akaingia nao dau, sasa wao wamekuwa kama waalikwa.
Wahaya ni vichwa na Ruge ndo the think tank la clouds.
Sasa diamond promo zote zile kumbe unamfanyia promo RUGE.
Big up RUGE
Huu siyo mda wake mkuu wa kuniuliza nafanya kazi gani, niulize nimetoa ajira kwa watu wangapi!!Wewe unafanya kazi gani?
Watu design yako wanatokea pwani kwa wazaramoNaskia hadi kichefu chefu yani nikisikia jina clauz
Toka lini maskin kampani yake matajiriRugu huyu mshkaji namkubali sana wakati vijana wanasema hela ngumu mitaani ruge anakuja kuzisomba na masandaruzi na kusepa
Jamani maisha siyo magumu kama tunavyo aminishwa ishu ni kuwa na idea ya kupata hela
Ukiwa na kampani ya watu maskini na wewe unakuwa maskini
Ukiwa na kampani ya wanasiasa na wewe unakuwa mwanasiasa
Ukiwa na kampani ya matajiri na wewe unakuwa tajiri
Ukiwa na kampani ya watu wa fursa na wew unakuwa mtu wa fursa
Maisha unayo ishi wewe ndiyo uliyo yachangua!
Vijana tuachane na siasa za bongo tutafute hela
Hate yourselfI hate clouds fm
Fact! Ndiyo maana mkuu nimesema ukikaa na kampani ya maskini utakuwa maskini au ya wanyoa viduku na wewe unakuwa hivyo hivyoToka lini maskin kampani yake matajiri
Utaongea kitu gani wakusikilize hata kama ni kizuri
Usitake niamin nawew ni mmoja kati ya wale wanne ambae ni chizi
Ruge?! is this youNdiyo mana maisha yanazidi kuwa magumu kwa kuwa na watu kama wewe,
Isikute hapo hata 5000 ya supu huna, huku umekaza shingo kushupalia mambo ya watu!!!
Ruge?! is this you
Mbona Le Mutuz yupo karibu na watu wa aina hiyo na hana mbele wala nyuma?!Rugu huyu mshkaji namkubali sana wakati vijana wanasema hela ngumu mitaani ruge anakuja kuzisomba na masandaruzi na kusepa
Jamani maisha siyo magumu kama tunavyo aminishwa ishu ni kuwa na idea ya kupata hela
Ukiwa na kampani ya watu maskini na wewe unakuwa maskini
Ukiwa na kampani ya wanasiasa na wewe unakuwa mwanasiasa
Ukiwa na kampani ya matajiri na wewe unakuwa tajiri
Ukiwa na kampani ya watu wa fursa na wew unakuwa mtu wa fursa
Maisha unayo ishi wewe ndiyo uliyo yachangua!
Vijana tuachane na siasa za bongo tutafute hela