Ruge Mutahaba, Efrahim Kibonde, Gardner G. Team Kataa ndoa tuna la kujifunza kwenu, tutawaenzi daima

asanti sana mama,

sauti ya wito wa Mungu katika maisha yangu ni NDOA, na si vinginevyo. Nafurahi kukuarifu na kukuhakikishia kwamba, nimeitikia wito wa Mungu na wako wewe mama yangu kipenzi sana Joannah na kuutekeleza kadiri ya mpango wake Mungu
 
Pumbavu tena
 
asanti sana mama,

sauti ya wito wa Mungu katika maisha yangu ni NDOA, na si vinginevyo. Nafurahi kukuarifu na kukuhakikishia kwamba, nimeitikia wito wa Mungu na wako wewe mama yangu kipenzi sana Joannah na kuutekeleza kadiri ya mpango wake Mungu
Naam,
Biblia inasema hivi kwenye ,
Mithali 18:22
Apatae mke apata kitu chema,nae ajipatia kibali Kwa BWANA

Mhubiri 4:9
Wawili ni afadhali kuliko Mmoja

Mwanzo 2:24
Mwanaume atamwacha baba yake na mama yake naye ataambatana na mkewe.

Umechagua fungu jema mwanangu,Una Baraka zote za mama....
 
na nitang"ang"ana nayo kabisa, ili nisikose Neema na Baraka hizi za kipekee kabisa kutoka kwa Mungu kuputia neno na ahadi zake na kwakweli kufurahia baraka kutoka kwako Mama yangu mpendwa sana Joannah
 
A reminder that research samples requires N/(1+Ne)

Allowing 5% confidence interval, e, so you legitly concluded with 4 population out of 30milions couples.
Wild!!! 💀💀💀💀💀
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…