KennedyMmari
JF-Expert Member
- Dec 12, 2012
- 979
- 183
Wanajamvi,
Kuna tetesi za chini kwa chini nazisikia kuwa Ruge na Kusaga wamemwekea Lady Jay Dee pingamizi kutoendelea kutoa Waraka/Nyaraka zinazowahusu wao Clouds Media Mahakamani kwasababu Walihofu kuwa Lady Jay Dee angetoa Nyaraka kuwa wanahusika na Biashara za Madawa ya Kulevya kwa kuwatumia Wasanii wengi hapa Tanzania.Hii kitu ni Nyeti sana,na kama kuna ambaye anaweza kujazia nyama hapa nitashukuru kuujua Undani.
NB:Hizi ni Tetesi,kwahiyo tusijump kwenye conclusion.
Kuna tetesi za chini kwa chini nazisikia kuwa Ruge na Kusaga wamemwekea Lady Jay Dee pingamizi kutoendelea kutoa Waraka/Nyaraka zinazowahusu wao Clouds Media Mahakamani kwasababu Walihofu kuwa Lady Jay Dee angetoa Nyaraka kuwa wanahusika na Biashara za Madawa ya Kulevya kwa kuwatumia Wasanii wengi hapa Tanzania.Hii kitu ni Nyeti sana,na kama kuna ambaye anaweza kujazia nyama hapa nitashukuru kuujua Undani.
NB:Hizi ni Tetesi,kwahiyo tusijump kwenye conclusion.