Ruge jitofautishe na Clouds Media Group

Ruge jitofautishe na Clouds Media Group

kindikwili

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2016
Posts
1,862
Reaction score
2,876
Umofia kwenu wakuu,

Wakuu habari za muda huu?

Kuna video iko YOU TUBE ikionesha mahojiano ya watangazaji wa XXL ya clouds fm na mwimbaji wa kike RUBY. Katika video hiyo Rubi anaomba radhi wapenzi wa clouds, management na wafanyakazi kwa yote yaliyotokea.

Katika mahojiano hayo kuna mengi unaweza kujifunza ukiwa na jicho la ziada na akili pevu, watangazaji hasa B DOZEN anaonekana kumuuliza Ruby maswali mengi ya kikuda yasiyo ya msingi maana mtu akiamua kuomba radhi si lazima uanze tena kumuuliza maswali yenye lengo la kutaka ku-justify makosa yake. Hata hivyo si kweli kwamba ni Ruby tu ndiye aliyekosa, kwahiyo hakukuwa na haja ya kutaka kuleta mambo kama yale.

Lakini katika mahojiano hayo B DOZEN anasikika akisema waliambiwa wasipige tena nyimba za ruby cjui october mwaka jana (kama sijasahau). Mimi sijui chanzo cha ugomvi wao ila inaonekana Ruby alikosana na management ya THT na na kisha baadaye aliongelea kamati ya FIESTA kwamba inatoa hela kidogo kwa wasanii (kulingana na trend ya mahojiano hayo).

Sasa kama ni hivyo hii amri ya nyimbo za Ruby kusitishwa kupigwa Clouds ulikuwa na mashiko gani?. Yaani clouds ukikosana na Ruge na THT yake ina maana umekosana na kampuni nzima? Ukikosana na kamati ya fiesta tayari umkosana na clouds kama kampuni? Mfano kama zamaradi alikuwa mpenzi wa Ruge kisha wakamwagana ndiyo kusema hapo Zamaradi hatakiwi clouds kabisa na hata kile kipindi chake kinafutwa kisa kakosana na Ruge?. Hivi lady Jaydee yeye alikosana na nani?

Katika business law company is a separate legal entity, ni vizuri Ruge na wenzake wakajua hili. Kwamba clouds media group ni kampuni na ina utofauti na Ruge na Kusaga. Yaani si kwamba ukikosana na kusaga au ruge basi ndiyo uwe umekosana na clouds. Ingekuwa ni hivyo kwenye kila jambo mbona dunia isingekuwa sehemu salama kwa kuishi jamani. Hawa watu waache utoto, mtu akikosana hata kama na bsoi wao waache kuingiza kampuni nzima.

Kuna wakati jirani yetu moja alimuweka mzee wangu ndani (korokoroni) wiki 2, mzee wangu akiwa bado yuko ndani mke wa yule jamaa akawa ameumwa usiku akatakiwa kupelekwa hospitalini, mama yetu alitoa gari na mafuta nikaweka bila kujali kwamba mzee wangu yuko ndani kwasababu ya mumewe.

Ugomvi wa mtu na mtu hauwezi kufanywa ugomvi wa familia kwa watu wastaarabu. Kwa kumalizia naomba nimshauri Ruge aachane na kuingiza mambo yake binafsi, kama mapenzi, ugomvi wake na watu mitaani, au na wasanii wake wa THT, au watangazaji wa clouds na clouds kama kampuni. Hata wengine wenye tabia kama hizi waachane nazo sidhani kama ni ustaarabu.

Kindikwili
 
Mbona nasikia Mugabe alioa sekretari wake na Mume wa sekretari akampa ubalozi, mbona kuna maraisi wanaoa mawaziri wao na waume zao wanapewa ubalozi au uwaziri, ila ruge unamshikia bango, acha hizo we mzee
 
clouds fm inamilikiwa na watu wawili Kusaga na ruge mutahaba... clouds ni jasho lao toka idea mpaka kuisotea kuianzisha na kufika pale walipofika.. wamepitia mengi sana kuisimamisha ile redio na tv... so ni ya kwao..

kitu cha kwako lazima uwe na maamuzi nacho... mambo ya kufata sheria sijui kampuni ni private institution peleka serikalini.. ukigombana na bakhressa huwezi ukafanya kazi azam.. sababu ni ya kwake.. au ugombane na MO halafu ulazimishe ajira kwenye kampuni zake.... Ruge anaamua anachotaka sababu ni jasho lake lile pamoja na kusaga
 
Umofia kwenu wakuu!
Wakuu habari za muda huu?, kuna video iko YOU TUBE ikionesha mahojiano ya watangazaji wa XXL ya clouds fm na mwimbaji wa kike RUBY. Katika video hiyo Rubi anaomba radhi wapenzi wa clouds, management na wafanyakazi kwa yote yaliyotokea.

Katika mahojiano hayo kuna mengi unaweza kujifunza ukiwa na jicho la ziada na akili pevu, watangazaji hasa B DOZEN anaonekana kumuuliza Ruby maswali mengi ya kikuda yasiyo ya msingi maana mtu akiamua kuomba radhi si lazima uanze tena kumuuliza maswali yenye lengo la kutaka ku-justify makosa yake. Hata hivyo si kweli kwamba ni Ruby tu ndiye aliyekosa, kwahiyo hakukuwa na haja ya kutaka kuleta mambo kama yale.

Lakini katika mahojiano hayo B DOZEN anasikika akisema waliambiwa wasipige tena nyimba za ruby cjui october mwaka jana (kama sijasahau). Mimi sijui chanzo cha ugomvi wao ila inaonekana Ruby alikosana na management ya THT na na kisha baadaye aliongelea kamati ya FIESTA kwamba inatoa hela kidogo kwa wasanii (kulingana na trend ya mahojiano hayo). Sasa kama ni hivyo hii amri ya nyimbo za Ruby kusitishwa kupigwa Clouds ulikuwa na mashiko gani?. Yaani clouds ukikosana na Ruge na THT yake ina maana umekosana na kampuni nzima?, ukikosana na kamati ya fiesta tayari umkosana na clouds kama kampuni?, mfano kama zamaradi alikuwa mpenzi wa Ruge kisha wakamwagana ndiyo kusema hapo Zamaradi hatakiwi clouds kabisa na hata kile kipindi chake kinafutwa kisa kakosana na Ruge?. Hivi lady Jaydee yeye alikosana na nani?

Katika business law company is a separate legal entity, ni vizuri Ruge na wenzake wakajua hili. Kwamba clouds media group ni kampuni na ina utofauti na Ruge na Kusaga. Yaani si kwamba ukikosana na kusaga au ruge basi ndiyo uwe umekosana na clouds. Ingekuwa ni hivyo kwenye kila jambo mbona dunia isingekuwa sehemu salama kwa kuishi jamani. Hawa watu waache utoto, mtu akikosana hata kama na bsoi wao waache kuingiza kampuni nzima.

Kuna wakati jirani yetu moja alimuweka mzee wangu ndani (korokoroni) wiki 2, mzee wangu akiwa bado yuko ndani mke wa yule jamaa akawa ameumwa usiku akatakiwa kupelekwa hospitalini , mama yetu alitoa gari na mafuta nikaweka bila kujali kwamba mzee wangu yuko ndani kwasababu ya mumewe. Ugomvi wa mtu na mtu hauwezi kufanywa ugomvi wa familia kwa watu wastaarabu. Kwa kumalizia naomba nimshauri Ruge aachane na kuingiza mambo yake binafsi, kama mapenzi, ugomvi wake na watu mitaani, au na wasanii wake wa THT, au watangazaji wa clouds na clouds kama kampuni. Hata wengine wenye tabia kama hizi waachane nazo sidhani kama ni ustaarabu .

Kindikwili
Umenena mkuu...
 
Umofia kwenu wakuu,

Wakuu habari za muda huu?

Kuna video iko YOU TUBE ikionesha mahojiano ya watangazaji wa XXL ya clouds fm na mwimbaji wa kike RUBY. Katika video hiyo Rubi anaomba radhi wapenzi wa clouds, management na wafanyakazi kwa yote yaliyotokea.

Katika mahojiano hayo kuna mengi unaweza kujifunza ukiwa na jicho la ziada na akili pevu, watangazaji hasa B DOZEN anaonekana kumuuliza Ruby maswali mengi ya kikuda yasiyo ya msingi maana mtu akiamua kuomba radhi si lazima uanze tena kumuuliza maswali yenye lengo la kutaka ku-justify makosa yake. Hata hivyo si kweli kwamba ni Ruby tu ndiye aliyekosa, kwahiyo hakukuwa na haja ya kutaka kuleta mambo kama yale.

Lakini katika mahojiano hayo B DOZEN anasikika akisema waliambiwa wasipige tena nyimba za ruby cjui october mwaka jana (kama sijasahau). Mimi sijui chanzo cha ugomvi wao ila inaonekana Ruby alikosana na management ya THT na na kisha baadaye aliongelea kamati ya FIESTA kwamba inatoa hela kidogo kwa wasanii (kulingana na trend ya mahojiano hayo).

Sasa kama ni hivyo hii amri ya nyimbo za Ruby kusitishwa kupigwa Clouds ulikuwa na mashiko gani?. Yaani clouds ukikosana na Ruge na THT yake ina maana umekosana na kampuni nzima? Ukikosana na kamati ya fiesta tayari umkosana na clouds kama kampuni? Mfano kama zamaradi alikuwa mpenzi wa Ruge kisha wakamwagana ndiyo kusema hapo Zamaradi hatakiwi clouds kabisa na hata kile kipindi chake kinafutwa kisa kakosana na Ruge?. Hivi lady Jaydee yeye alikosana na nani?

Katika business law company is a separate legal entity, ni vizuri Ruge na wenzake wakajua hili. Kwamba clouds media group ni kampuni na ina utofauti na Ruge na Kusaga. Yaani si kwamba ukikosana na kusaga au ruge basi ndiyo uwe umekosana na clouds. Ingekuwa ni hivyo kwenye kila jambo mbona dunia isingekuwa sehemu salama kwa kuishi jamani. Hawa watu waache utoto, mtu akikosana hata kama na bsoi wao waache kuingiza kampuni nzima.

Kuna wakati jirani yetu moja alimuweka mzee wangu ndani (korokoroni) wiki 2, mzee wangu akiwa bado yuko ndani mke wa yule jamaa akawa ameumwa usiku akatakiwa kupelekwa hospitalini, mama yetu alitoa gari na mafuta nikaweka bila kujali kwamba mzee wangu yuko ndani kwasababu ya mumewe.

Ugomvi wa mtu na mtu hauwezi kufanywa ugomvi wa familia kwa watu wastaarabu. Kwa kumalizia naomba nimshauri Ruge aachane na kuingiza mambo yake binafsi, kama mapenzi, ugomvi wake na watu mitaani, au na wasanii wake wa THT, au watangazaji wa clouds na clouds kama kampuni. Hata wengine wenye tabia kama hizi waachane nazo sidhani kama ni ustaarabu.

Kindikwili

Mkuu ile sio company ni sole proprietorship....
 
ha ha ha ..umekuja mwenyewe.. leo waelezee wajue ukaribu wako na ruge..wasikuonee wivu
clouds fm inamilikiwa na watu wawili Kusaga na ruge mutahaba... clouds ni jasho lao toka idea mpaka kuisotea kuianzisha na kufika pale walipofika.. wamepitia mengi sana kuisimamisha ile redio na tv... so ni ya kwao..

kitu cha kwako lazima uwe na maamuzi nacho... mambo ya kufata sheria sijui kampuni ni private institution peleka serikalini.. ukigombana na bakhressa huwezi ukafanya kazi azam.. sababu ni ya kwake.. au ugombane na MO halafu ulazimishe ajira kwenye kampuni zake.... Ruge anaamua anachotaka sababu ni jasho lake lile pamoja na kusaga
 
Tangu Rubby akosane na Ruge/clouds hajawahi kutoa ngoma hata moja ya kusema ilibaniwa lkn nzuri,ngoma zote alizotoa zilikuwa mbovu hata kama clouds wangempa promo zisingehit.Labda kuna benefits nyingine alikuwa anazipata ukiacha hizo promo(nahisi alikuwa anaandikiwa ngoma zake pale tht). Kama hisia zangu zipo sahihi basi alifanya poa kuomba msamaha na kurudi kundini, kuhusu Ruge na Clouds yake mtoa mada upo sahihi lkn ni ngumu kwani haiwezekani hata kidogo ukosane na Mengi halafu utarajie kazi IPP Media hiyo ni big no achana na hiyo Separate entity concept kuna mazingira ni ngumu kutumika
 
kucheza nyimbo Clouds FM ilikuwa ni kipengele kwenye mkataba wa shows za fiesta.

una swali lingine??

Unataka kumaanisha nini? Huyu ruby ni kwamba walikosana na ruge wala si issue ya fiesta, ndiyo maana maana hiyo jana B DOZEN anamuuliza mwenzake kwamba hivi waliambiwa wasicheze nyimbo zake kuanzia lini? haikuwa tu issue ya mkataba wa fiesta.
 
Mbona nasikia Mugabe alioa sekretari wake na Mume wa sekretari akampa ubalozi, mbona kuna maraisi wanaoa mawaziri wao na waume zao wanapewa ubalozi au uwaziri, ila ruge unamshikia bango, acha hizo we mzee

Mkuu mbona mimi sijamshikia bango!!! mimi nasema lazima atofautishe mambo yake binafsi na clouds meadia group.
 
clouds fm inamilikiwa na watu wawili Kusaga na ruge mutahaba... clouds ni jasho lao toka idea mpaka kuisotea kuianzisha na kufika pale walipofika.. wamepitia mengi sana kuisimamisha ile redio na tv... so ni ya kwao..

kitu cha kwako lazima uwe na maamuzi nacho... mambo ya kufata sheria sijui kampuni ni private institution peleka serikalini.. ukigombana na bakhressa huwezi ukafanya kazi azam.. sababu ni ya kwake.. au ugombane na MO halafu ulazimishe ajira kwenye kampuni zake.... Ruge anaamua anachotaka sababu ni jasho lake lile pamoja na kusaga

Kitaaluma hata kama kitu ni chakwako haifai kabisa kwamba kila unayegombana naye hata private basi unakimbilia kutumia hicho kitu chako dhidi ya adui yako. Ndiyo maana watu wanasomea management ili kuepusha biashara kuingizwa kwenye ugomvi binafsi
 
Mbona nasikia Mugabe alioa sekretari wake na Mume wa sekretari akampa ubalozi, mbona kuna maraisi wanaoa mawaziri wao na waume zao wanapewa ubalozi au uwaziri, ila ruge unamshikia bango, acha hizo we mzee
Hallow hallow..unanichimba!....
 
Tangu Rubby akosane na Ruge/clouds hajawahi kutoa ngoma hata moja ya kusema ilibaniwa lkn nzuri,ngoma zote alizotoa zilikuwa mbovu hata kama clouds wangempa promo zisingehit.Labda kuna benefits nyingine alikuwa anazipata ukiacha hizo promo(nahisi alikuwa anaandikiwa ngoma zake pale tht). Kama hisia zangu zipo sahihi basi alifanya poa kuomba msamaha na kurudi kundini, kuhusu Ruge na Clouds yake mtoa mada upo sahihi lkn ni ngumu kwani haiwezekani hata kidogo ukosane na Mengi halafu utarajie kazi IPP Media hiyo ni big no achana na hiyo Separate entity concept kuna mazingira ni ngumu kutumika

Mimi nazungumzia ile amri kwamba kuanzia leo msipige nyimbo za Ruby, au Lady Jaydee au kuanzia leo no Kipindi cha zamaradi kisa ni ugomvi binafsi na Ruge . Haikai poa maana huko ni kuingiza mambo binafsi kwenye biashara.
 
Unataka kumaanisha nini? Huyu ruby ni kwamba walikosana na ruge wala si issue ya fiesta, ndiyo maana maana hiyo jana B DOZEN anamuuliza mwenzake kwamba hivi waliambiwa wasicheze nyimbo zake kuanzia lini? haikuwa tu issue ya mkataba wa fiesta.

endelea kupoteza muda wako kupingana na Ruby mwenyewe aliyenena kuwa mkataba wa fiesta ndiyo chanzo.
 
Back
Top Bottom