CHAI CHUNGU JF-Expert Member Joined Feb 20, 2012 Posts 7,113 Reaction score 946 Apr 17, 2012 #1 kwa tetesi nilizozipata hivi punde,ile rufaa ya yanga ya kupinga kupokwa point3 imepigwa chini leo na kamati ya rufaa ya tff chini ya kamanda Tibaigana,ikiwa na maana kwamba yale maamuzi ya kupokwa point3 yanabaki palepale.
kwa tetesi nilizozipata hivi punde,ile rufaa ya yanga ya kupinga kupokwa point3 imepigwa chini leo na kamati ya rufaa ya tff chini ya kamanda Tibaigana,ikiwa na maana kwamba yale maamuzi ya kupokwa point3 yanabaki palepale.
RasJah JF-Expert Member Joined Nov 5, 2009 Posts 703 Reaction score 64 Apr 18, 2012 #2 Hujakosea mkuu yanga waache ukilaza wao mwaka huu swala la ubingwa wasahau