rufaa ya yanga yapigwa chini!!

CHAI CHUNGU

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2012
Posts
7,113
Reaction score
946
kwa tetesi nilizozipata hivi punde,ile rufaa ya yanga ya kupinga kupokwa point3 imepigwa chini leo na kamati ya rufaa ya tff chini ya kamanda Tibaigana,ikiwa na maana kwamba yale maamuzi ya kupokwa point3 yanabaki palepale.
 
Hujakosea mkuu yanga waache ukilaza wao mwaka huu swala la ubingwa wasahau
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…