SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,974
- 75,056
Wewe ndiye unatafunwa kinoma nomaUmanisha gaidi wanatafuna?
Sent from my Nokia 5.1 Plus using JamiiForums mobile app
Wewe ndiye unatafunwa kinoma nomaUmanisha gaidi wanatafuna?
Linapokea vitasa huko kuzimuGaidi likishakufa tayari
Itabadilisha kitu?
Mungu amsaidieHakuna kitu jamaa imeshakula kwake,ushahid hauna shaka kwamba alifanya ujambazi wa kutumia silaha,huyo mwehu atatoka akiwa na miaka 55 lazima achezee mvua 20( 2 ya 3 ya miaka 30).
Atavuna alichopanda huyo MUHUNI,ameumiza watu sana muache ayalipe.Mungu amsaidie
Hata ya uhujumu uchumi nimeona leo yule mama wa crdb kwa muromboo katoa ushahidi ambao hauna shakaHakuna kitu jamaa imeshakula kwake,ushahid hauna shaka kwamba alifanya ujambazi wa kutumia silaha,huyo mwehu atatoka akiwa na miaka 55 lazima achezee mvua 20( 2 ya 3 ya miaka 30).
Aisee jiwe alizalisha watu wa hovyo kabisa kama SabayaAtavuna alichopanda huyo MUHUNI,ameumiza watu sana muache ayalipe.
Jambazi kubwa nasikia wewe ndiye msaidizi wa sabayaSabaya anatoka mbowe anafungwa
Vitu vingine havitakiwi kuombewaMungu amsaidie
Hata gaidi ushahidi umetolewa tena na polisi bila kuacha shakaHata ya uhujumu uchumi nimeona leo yule mama wa crdb kwa muromboo katoa ushahidi ambao hauna shaka
Wasubiri bana tule mzigo wakeJaji wa mahakama kuu amesema rufaa ya aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai kisha kusingiziwa ameiba simu aina ya Tecno na pesa laki tatu na sitini na kufungwa miaka 30 jela Lengai Sabaya itaanza kusikilizwa 13/12/2021 mfululizo mpaka haki itakapopatikana.
Rufaa ya Sabaya kutajwa Desemba 13 | Mwananchi - Rufaa ya Sabaya kutajwa Desemba 13
Joyce mukya vipi kwaniWasubiri bana tule mzigo wake
..walau akute mtoto wa miaka 15 hivi.
Jinga hapo labda una kiline cha hela basi unajiona mtetezi wa wanyonge ni adui.Hivi mataga mna akili sawa? Laana ya Magufuli inaweza kumpata nani, kivipi!
Halafu, Kikristo laana ni kitu hakiruhusiwi
Acheni huo upumbafu wa kusema laana ya Magufuli itampata Rais Samia...
Mataga mnataka Nini? Semeni shida yenu msaidiwe
Tulia bwa mdogo... hii kesi itawaumbua sana..sema hamna akili tu hata Jaji anawabeba ila hambebeki. Mbaya zaidi ipo live.Joyce mukya vipi kwani
Gaidi anatafutwa na Marekani piaTulia bwa mdogo... hii kesi itawaumbua sana..sema hamna akili tu hata Jaji anawabeba ila hambebeki. Mbaya zaidi ipo live.
Ni upumbafu mashtaka kama hayo kuyaita ya ugaidi...angalia Uganda leo kilichotolea.Gaidi anatafutwa na Marekani pia
Gaidi yupi unamsemaUmanisha gaidi wanatafuna?
Sahau kabisa Hilo futaaSabaya anatoka mbowe anafungwa
Mahakama Ya Rufaa itatenda Haki Kwa Kukazia na kuiongezea Hukumu Ndogo ya Miaka 30 aliyopewa JambaziJaji wa mahakama kuu amesema rufaa ya aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Hai kisha kusingiziwa ameiba simu aina ya Tecno na pesa laki tatu na sitini na kufungwa miaka 30 jela Lengai Sabaya itaanza kusikilizwa 13/12/2021 mfululizo mpaka haki itakapopatikana.
Rufaa ya Sabaya kutajwa Desemba 13 | Mwananchi - Rufaa ya Sabaya kutajwa Desemba 13