tafadhali kwa anaejua itasikilizwa lini atujuze,na vipi kuhusu majaji wanaorudia hiyo kesi huwa wanapatikana vipi,yaani ni utaratibu gani huwa unatumika kuwateua?kwa harakaharaka ukiangalia hii kesi utaona ina husu jumba kuu moja kwa moja ndio maana nauliza huo mchakato wakuwapata majaji huwa unakua vipi.naombeni ufafanuzi tafadhali