Rubani amefariki kwenye ndege

lendila

JF-Expert Member
Sep 26, 2012
5,806
4,370
Rubani amefariki kwenye ndege iliyokuwa safarini kutoka Dallas kwenda Albuquerque huko New Mexico, kwa mujibu wa shirika la American Airlines.

Ndege hiyo aina ya Boeng 737-800, ilikuwa imesalia na karibu kilomita tatu kabla ya kutua, wakati nahodha alitangaza suala la dharura, kwa mujibu wa msemaji wa uwanja wa ndege wa Albuquerque

Ndege hiyo ilitua bila ya kisa chochote na hakuna rubani aliyejeruhiwa
 
Sa kwanini huyo rubani aliyekufa hakupewa jina na wazazi wake wakati anazaliwa..halafu huyo rubani amekufa halafu rubani huyo huyo ametua salama salimini!!!...ama kweli kua uyaone !!
Ndege kubwa kama hiyo ni lazima iwe na marubani wawili mkuu.. Ila simaanishi kwamba ndo nathibithisha hii habari..
 
Rubani amefariki kwenye ndege iliyokuwa safarini kutoka Dallas kwenda Albuquerque huko New Mexico, kwa mujibu wa shirika la American Airlines.

Ndege hiyo aina ya Boeng 737-800, ilikuwa imesalia na karibu kilomita tatu kabla ya kutua, wakati nahodha alitangaza suala la dharura, kwa mujibu wa msemaji wa uwanja wa ndege wa Albuquerque

Ndege hiyo ilitua bila ya kisa chochote na hakuna rubani aliyejeruhiwa
 
Hii Hua inatokea, Kuna jamaa alikua amekodi ndege ndogo kwenda kutalii porini, alikua yeye na rubani Tu,

Rubani Si akafia huko huko angani, jamaa anatoa taarifa chini, ikabidi watume ndege nyingine ili wamuelekeze huyo jamaa mwenyewe aishushe, ulikua balaa, Mungu Mkubwa akafanikiwa kuishusha ingawa kwa Mbinde Sana.

After two weeks anaenda kujifunza urubani. Ipo YouTube, sikumbuki jina lake lakini. Niliiona mwaka Jana mwanzoni.
 
Kuelewa walituaje salama ni lazima kwanza uelewe picha ya cockpit au chumba cha rubani. Chumba cha rubani wa ndege huwa kina sehemu mbili za marubani... Kwa hiyo hata iwapo rubani mmoja atapata matatizo bado rubani wa pili anaweza kuiongoza ndege. Ndege sio kama basi lenye usukani mmoja.

step-inside-the-cockpit-of-the-uss-most-iconic-war-planes.jpg
 
Hii Hua inatokea, Kuna jamaa alikua amekodi ndege ndogo kwenda kutalii porini, alikua yeye na rubani Tu,

Rubani Si akafia huko huko angani, jamaa anatoa taarifa chini, ikabidi watume ndege nyingine ili wamuelekeze huyo jamaa mwenyewe aishushe, ulikua balaa, Mungu Mkubwa akafanikiwa kuishusha ingawa kwa Mbinde Sana.

After two weeks anaenda kujifunza urubani. Ipo YouTube, sikumbuki jina lake lakini. Niliiona mwaka Jana mwanzoni.
 
kwenye ndege ya abiria kunakuwaga na rubani au captain mmoja na msaidizi wake first officer anaitwa hawa wote ndio madereva wa ndege.. sasa ikitokea rubani amekufa first officer anachukua jukumu la kuendesha ndege na flight engineer anakuwepo kusaidia any error
 
Sa kwanini huyo rubani aliyekufa hakupewa jina na wazazi wake wakati anazaliwa..halafu huyo rubani amekufa halafu rubani huyo huyo ametua salama salimini!!!...ama kweli kua uyaone !!

Jiisikitikie kwa kuandika hayo.
 
Sa kwanini huyo rubani aliyekufa hakupewa jina na wazazi wake wakati anazaliwa..halafu huyo rubani amekufa halafu rubani huyo huyo ametua salama salimini!!!...ama kweli kua uyaone !!
Ndege kubwa kama inakuwa na Pilot and Co-pilot so inawezekana Pilot alifariki Co-pilot akachukua nafasi. Kwa upande mwengine inawezekana kati ya Abiria kulikuwepo na Abiria ambae kwa Professional ni Pilot ambae alifariki ndani ya safari hiyo
 
A pilot died on Wednesday during a flight from Dallas to Albuquerque, New Mexico, American Airlines have confirmed.

The Boeing 737-800 was two miles from landing when the captain declared a medical emergency, an Albuquerque airport spokesman confirmed.

"They landed without incident, taxied to the gate and were met by medical personnel," he told the Albuquerque Journal.
 
Back
Top Bottom