tushapiga interview, mwishon mwa january, trh 28
Mbona hamkutoa taarifa na wenzenu wajue
dah kumbe nilipigwa chini interview. ngoja watakuja
Hiv walihitaga lini watu kwenye interview?habarini wana jamvi Hawa watu wa Rubada walishaita watu kazini Kwa wale waliofanya interview? ni muda sana nawasilisha
Hakuna watu wa ajabu sana kama hawa wajinga wa RUBADA,kwanza walitangaza kazi ambazo budget haijatoka wizarani na pili mkurugenzi wa RUBADA zile nafasi zote alipokea vimemo vya watu wanaotakiwa kwa hiyo ili kuhakikisha kama watu wake wameitwa alishiriki kwenye interview zote kuanzia ndogo mpaka kubwa.So in short kama wewe ni miongoni mwa waliopewa vimemo subiri mtaitwa baada ya budget kutoka na kama haukuwa kwenye list ya vimemo take my word huwezi kupata wewe endelea na kupambana kwingine. Huamini acha sikulazimishi lakini ukweli ndio huo maana ilifikia hatua kwa sababu ya vimemo kuna watu wenye akili zao wametemwa kwa hiyo ikaleta sana ugomvi na MD na wafanyakazi.Mungu ibariki TanzaniaHabarini wanajamvi, Hawa watu wa RUBADA walishaita watu kazini Kwa wale waliofanya interview? ni muda sana.
Nawasilisha
Hakuna watu wa ajabu sana kama hawa wajinga wa RUBADA,kwanza walitangaza kazi ambazo budget haijatoka wizarani na pili mkurugenzi wa RUBADA zile nafasi zote alipokea vimemo vya watu wanaotakiwa kwa hiyo ili kuhakikisha kama watu wake wameitwa alishiriki kwenye interview zote kuanzia ndogo mpaka kubwa.So in short kama wewe ni miongoni mwa waliopewa vimemo subiri mtaitwa baada ya budget kutoka na kama haukuwa kwenye list ya vimemo take my word huwezi kupata wewe endelea na kupambana kwingine. Huamini acha sikulazimishi lakini ukweli ndio huo maana ilifikia hatua kwa sababu ya vimemo kuna watu wenye akili zao wametemwa kwa hiyo ikaleta sana ugomvi na MD na wafanyakazi.Mungu ibariki Tanzania
so hawataita mpaka wapate mgao wa budget