johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,875
Kamanda wa polisi mkoa wa Mwanza amewataka viongozi na wafuasi wa Chadema wanaodai simu zao zinashikiliwa na polisi kwa zaidi ya miezi 5 sasa wafike ofisini kwake aweze kuwasaidia.
Akiongea na mwandishi wa Eatv kamanda Hamis alisema hana taarifa za kushikiliwa kwa simu hizo zaidi ya 15 zote Smartphones na kwamba kama ni kweli basi waende ofisini.
Viongozi na wafuasi hao wa Chadema walikamatwa na polisi baada ya kufanya mkusanyiko usio halali ndani ya Kanisa Katoliki na kesi yao bado haijaanza kusikilizwa mahakamani tangia October, 2021.
Watuhumiwa wote wako nje kwa dhamana.
Source: Eatv habari
Maendeleo hayana vyama.
Akiongea na mwandishi wa Eatv kamanda Hamis alisema hana taarifa za kushikiliwa kwa simu hizo zaidi ya 15 zote Smartphones na kwamba kama ni kweli basi waende ofisini.
Viongozi na wafuasi hao wa Chadema walikamatwa na polisi baada ya kufanya mkusanyiko usio halali ndani ya Kanisa Katoliki na kesi yao bado haijaanza kusikilizwa mahakamani tangia October, 2021.
Watuhumiwa wote wako nje kwa dhamana.
Source: Eatv habari
Maendeleo hayana vyama.