Mkuu ndio maana kuna kupisha uchunguzi ufanyike....hizo ndo gharama za uongozi kuna kuhusika Moja Kwa Moja au ofisi yako ikatumika Bila wewe mwenyewe kuhusika.Uwe na akiba ya maneno. Miongoni mwa wakuu wa kwanza kwanza kutumbuliwa ni DCI Diwani Athmani. Lakini tuliojua sakata tulisema humu majungu si mtaji Diwani kaonewa, kwa vile sakata la utumbuaji lilikuwa ndo habari ya mjini, wengi mlitutukana lakini Leo bila aibu Diwani huyohuyo aliyetuhumiwa kuwakingia kifua majangili wa meno ya tembo na IGP akapigwa mkwara na mtumbuaji "Ungediriki kumtetea na wewe ungekwenda naye, ni MKUU WA TAKUKURU. What a shame?
Ndiyo
Pamoja sana mkuu.Mkuu umeongea yote. Sina cha kusema zaidi ya kusema ni hakika na kweli.
JPM alitoa Ruksa wakulima wauze kwa Waganda??bandarini: Kauli laini ilitolewa-Si ulipe tu kodi yaishe?
kwenye kahawa:kauli nzito na ngumu-Raisi asimamisha fulani na fulani kupisha uchunguzi
Mazingaombwe !!.Kahawa tu mtu katenguliwa, lakin kontena bandarini kulitokea kigugumizi hatari,
Nini maana yake na hatma ya nchi?
Ikiuma chomoa. Usivumilie usije pata tabu sana.Toka lini Masai walipata akili zaidi ya kupiga stories na ng'ombe.
Olomi na Genge lake katika biashara haramu ya ulanguzi wa Kahawa.Wahujumu uchumi wapi wanaoshughulikiwa na jpm...bashite???
Pia hakutoa ruhusa mzigo uingie bila kodi!Iweje RC awatishe wananchi watakaonunua samani zile halafu akaachwa tu hivi hivi?JPM alitoa Ruksa wakulima wauze kwa Waganda??
So wale walokwepa kodi ya makontena ya furniture ndo hao hao. Hata kwa ile list ya hela ya esrow wao ndo walotajwa huko list ya rada na ufisadi wote wao ndo walotajwa huko. Jitafakari ndugu. Those people are very smart acha kutokwa povu lisilo na utafitiKujishughulisha na biashara kwa hulihujumu Taifa na kukwepa KODI!? Unajua ni kwa nini maduka mengi ya wachaga kariakoo yamefungwa na kukimbia biashara!? Kwa nini wahindi, wakinga na makabila mengine wanaendelea na biashara kama kawaida!?
Acheni kujitoa ufahamu wapuuzi nyinyi! Mkiambiwa ukweli mnabubujikwa POVU.
Awamu hii mtanyooka tu. JPM anawapa dozi yenu mnayostahili. Mmelifuja Taifa hili vya kutosha.
Wakati mwingine demotion hutokea kwa Nazi maalum.Uwe na akiba ya maneno. Miongoni mwa wakuu wa kwanza kwanza kutumbuliwa ni DCI Diwani Athmani. Lakini tuliojua sakata tulisema humu majungu si mtaji Diwani kaonewa, kwa vile sakata la utumbuaji lilikuwa ndo habari ya mjini, wengi mlitutukana lakini Leo bila aibu Diwani huyohuyo aliyetuhumiwa kuwakingia kifua majangili wa meno ya tembo na IGP akapigwa mkwara na mtumbuaji "Ungediriki kumtetea na wewe ungekwenda naye, ni MKUU WA TAKUKURU. What a shame?
Yule ni Kamishna,
Anaepaswa kumsimamamisha kazi ni Rais
Acha upotoshajiKujishughulisha na biashara kwa hulihujumu Taifa na kukwepa KODI!? Unajua ni kwa nini maduka mengi ya wachaga kariakoo yamefungwa na kukimbia biashara!? Kwa nini wahindi, wakinga na makabila mengine wanaendelea na biashara kama kawaida!?
Acheni kujitoa ufahamu wapuuzi nyinyi! Mkiambiwa ukweli mnabubujikwa POVU.
Awamu hii mtanyooka tu. JPM anawapa dozi yenu mnayostahili. Mmelifuja Taifa hili vya kutosha.
JPM alitoa Ruksa wakulima wauze kwa Waganda??