MLUGURU
JF-Expert Member
- Mar 30, 2012
- 2,820
- 3,522
Mkuu ndio maana kuna kupisha uchunguzi ufanyike....hizo ndo gharama za uongozi kuna kuhusika Moja Kwa Moja au ofisi yako ikatumika Bila wewe mwenyewe kuhusika.Uwe na akiba ya maneno. Miongoni mwa wakuu wa kwanza kwanza kutumbuliwa ni DCI Diwani Athmani. Lakini tuliojua sakata tulisema humu majungu si mtaji Diwani kaonewa, kwa vile sakata la utumbuaji lilikuwa ndo habari ya mjini, wengi mlitutukana lakini Leo bila aibu Diwani huyohuyo aliyetuhumiwa kuwakingia kifua majangili wa meno ya tembo na IGP akapigwa mkwara na mtumbuaji "Ungediriki kumtetea na wewe ungekwenda naye, ni MKUU WA TAKUKURU. What a shame?