RPC Mwanza ni Comedy asiyejitambua

RPC Mwanza ni Comedy asiyejitambua

kwani tanzania kuna polisi mwenye akili hata mmoja? wanashikiwa akili na masiisiiiemu pamoa na minyota yao mabegani, unasaidia watu wenye maisha mazuri ila wewe unakaa kwenye fulusuti na bado unatumika tu, wakistaafu wanahangaika na wanasiasa haohao wawasaidie kufukuzia vimafao vyao kiduchu.imagine lile zee staafu la dodoma sasahivi limeajiriwa kwenye kampuni ya ulinzi stupid.
Serious! Si ...to?
 
Jana nimeona Kamanda wa Polisi Mwanza SACP MUTAFUNGWA akielezea kupiga marufuku mikusanyiko ya Chadema hapa Mwanza.

Nikakumbuka Wiki kadhaa nyuma kuna mfanya biashara aliripotiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha mpaka leo jeshi hilo pamoja na Intelijensia waliyonayo ya kung'amua mambo hawajatuambia alipo mfanya biashara yule.
Ila intelijensia yao imewaambia mapema eti Chadema wanaandaa mikusanyiko kiukweli haya ni Maajabu🤣🤣.

Nadhani wangetumia muda huo kutuambia alipomfanyabiashara wetu, hivi anajua Familia wanapitia wakati gani? Aache mbwembwe
Fuatilia sakata la mfanya biashara ya madini wa Lindi kilimtokea nini kule Mtwara ukiachilia mbali wale wafanya biashara wa madini wa kule Mahenge kabla haujaulizia alipo huyo mfanya biashara wa Mwanza.
 
Jana nimeona Kamanda wa Polisi Mwanza SACP MUTAFUNGWA akielezea kupiga marufuku mikusanyiko ya Chadema hapa Mwanza.

Nikakumbuka Wiki kadhaa nyuma kuna mfanya biashara aliripotiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha mpaka leo jeshi hilo pamoja na Intelijensia waliyonayo ya kung'amua mambo hawajatuambia alipo mfanya biashara yule.
Ila intelijensia yao imewaambia mapema eti Chadema wanaandaa mikusanyiko kiukweli haya ni Maajabu🤣🤣.

Nadhani wangetumia muda huo kutuambia alipomfanyabiashara wetu, hivi anajua Familia wanapitia wakati gani? Aache mbwembwe
sio comedy andika comedian
 
Na
Naangalia picha mtandaoni Polisi wanavyovunja watu, wanavyosukuma watu, utadhani ni watu wameua,
Nasikia vimeua😭😭,kwakweli hili halikubaliki.Umma utaamuha hatimae ya Nchi hii.Kuna ujinga mkubwa Sanaa unafanyika! Hivi Chademaa nao wakuwahofia mpaka kumwaga Damu za watuu wakati 74%ya Raia wa Vijijini ni CCM. Binafisi ningetoa ulinzii chadema wakafanya mambo yao fresh.Binadamu ukiwanyanyasa Sanaa huchoka na kuamua kwa garama yayote kutafutaa uhuru.

Kwa mfumo huu wa uendeshaji nchii,Serikali ndio Namba Moja kuelekea kuhatarisha Amani ya Taifa.Trust me wakimudu kuthibiti raia 2025,ninauhakika mpaka 2030 kitawakaa haswaaa.Haki ndio Amani Taifa lisi loo oendeshwa kwa Haki ni jambo la mdaa tu kinawakaaa!
 
Jana nimeona Kamanda wa Polisi Mwanza SACP MUTAFUNGWA akielezea kupiga marufuku mikusanyiko ya Chadema hapa Mwanza.

Nikakumbuka Wiki kadhaa nyuma kuna mfanya biashara aliripotiwa kupotea katika mazingira ya kutatanisha mpaka leo jeshi hilo pamoja na Intelijensia waliyonayo ya kung'amua mambo hawajatuambia alipo mfanya biashara yule.
Ila intelijensia yao imewaambia mapema eti Chadema wanaandaa mikusanyiko kiukweli haya ni Maajabu🤣🤣.

Nadhani wangetumia muda huo kutuambia alipomfanyabiashara wetu, hivi anajua Familia wanapitia wakati gani? Aache mbwembwe

Wakiungana na RC wa Mwaza watafika mbali kwenye kuchekesha eeeh
 
Back
Top Bottom