RPC Mtwara: Wananchi kaeni mkijua ya kwamba hizo vurugu mnazozipanga kesho sisi tumejipanga vilivyo

Wanamtwara nahisi kesho wasipowakatia umeme kwa sababu wanazohisi zipo juu ya uwezo wao basi tbc watajifanya wanazarura au kipindi maalum na kukata hotuba ya wizara.hayo ndo maccm.
 
Hawajaambiwa wafanye fujo wameambiwa wakae majumbani washkilize bajeti ya nishati na madini!
We ndio hujaelewa mkuu,sio tu wakae nyumbani,pia Wamekatazwa kutoa huduma zozote za kijamii! sasa huoni hilo ni tatizo? Mtu ukiumwa ghafla nani atakupakia ktk gari wakati wamakonde watamshambulia mtoa huduma? na akishambuliwa mtoa huduma polisi wakae kimya? hebu jibuni maswali haya kwa kutumia ubongo na si vinginevyo
 
Mkuu Tge Big...naona jana ulibanwa mbavu na mods...kikombe cha ghahawa hakijapoa kweli? Ngoja tuone hiyo kesho man
 
Uzoefu unaonyesha Jeshi la polisi ndilo litakuwa chanzo cha vurugu hiyo kesho.
Kama lengo ni kuacha shughuli zote na kutulia majumbani, polisi wanajipanga kufanya nini?

Nipo hapa mjini Mtwara takriban miaka miwili sasa tangu sakata la gesi limeanza.
 
Siku hizi kabla sijasoma comments za mtu, naangalia kwanza JOINING DATE AND YEAR, hili contena la January - April 2013, hakuna kitu kabisa, sijui ndiyo ile project ya Mwigulu ya 7000/-?
 
Inaelekea huyu RPC ana tatizo la uwezo mdogo wa kuelewa. Hivi kitendo cha kuhamasha watu wafuatilie mjadala wa bunge ndio kuchochea vurugu? Logic iliyopo katika vipeperushi vilivyosambaa hapa Mtwara ni kuwataka watu watulie majumbani mwao ili waweze kufuatilia kwa umakini hotuba ya waziri wa nishati ili kila mtu asikie mwenyewe tamko la serikali kuhusu gesi. Sasa kinacho mfanya RPC a-panic hapo ni nini? Kwani hajui kama swala la gesi ni la wananchi?
 
Hii style ya serikali kutumia msuli kwa kila kitu ni matumizi mabaya ya kodi zetu.
Leadership means getting along with people, kinyume cha hapo tegemea maafa.
 
Mkuu Tge Big...naona jana ulibanwa mbavu na mods...kikombe cha ghahawa hakijapoa kweli? Ngoja tuone hiyo kesho man

Ha ha ha ha,Mkuu Sizinga Mods walikuwa wanajaribu kuinusuru serikali ya CCM,lakini sasa walipoona joto ya jiwe ni kali na hili jukwaa ni lulu kwa Watz wakaona bora waachie tuh,lakini kikombe mbona kilipoa mkuu...!!

Yetu macho,vipi itatoka??
 
Last edited by a moderator:
We ndio hujaelewa mkuu,sio tu wakae nyumbani,pia Wamekatazwa kutoa huduma zozote za kijamii! sasa huoni hilo ni tatizo? Mtu ukiumwa ghafla nani atakupakia ktk gari wakati wamakonde watamshambulia mtoa huduma? na akishambuliwa mtoa huduma polisi wakae kimya? hebu jibuni maswali haya kwa kutumia ubongo na si vinginevyo

kaka tatizo watu wanaanglia swal la kesho kijuu juu na kushabikia wakati ukiangalia wao wenyewe linawaathiri kwa upande mwingn. je wenye bodaboda kesho wakale wapi kama si kuongeza vibaka.
 
Ha ha ha ha,Mkuu Sizinga Mods walikuwa wanajaribu kuinusuru serikali ya CCM,lakini sasa walipoona joto ya jiwe ni kali na hili jukwaa ni lulu kwa Watz wakaona bora waachie tuh,lakini kikombe mbona kilipoa mkuu...!!

Yetu macho,vipi itatoka??

Hahaaaaa....ngoja ncheke kwanza kwa hii saga...Hebu soma signature yangu kwanza!!
 
We ndio hujaelewa mkuu,sio tu wakae nyumbani,pia Wamekatazwa kutoa huduma zozote za kijamii! sasa huoni hilo ni tatizo? Mtu ukiumwa ghafla nani atakupakia ktk gari wakati wamakonde watamshambulia mtoa huduma? na akishambuliwa mtoa huduma polisi wakae kimya? hebu jibuni maswali haya kwa kutumia ubongo na si vinginevyo

Rudia kuspma tena hicho kipeperushi kwa umakini kisha utaelewa kwamba wewe ndio hujaelewa vizuri.
 
Rudia kuspma tena hicho kipeperushi kwa umakini kisha utaelewa kwamba wewe ndio hujaelewa vizuri.
Niwekee link ya hicho kipeperushi,mi sijaelewa maana mnaposema watu wasifanye shuguli yoyote ile wakae wasikilize bunge tu tena kwa yale wanayotaka yawe,je serikali ikisema vinginevyo? nini kitafuata? na Ni lazima watu wote wasifanye kazi hata kama hawapendi siasa? na wale wakuishi kwa kutegemea biashara hiyo hasara ya siku hiyo anarudisha nani? Na wanafunzi je? waajiriwa makazini? Mi nasema hawana nia njema! wakajipange tena sio kuzuia huduma, hilo ni kosa!
 
Niwekee link ya hicho kipeperushi,mi sijaelewa maana mnaposema watu wasifanye shuguli yoyote ile wakae wasikilize bunge tu tena kwa yale wanayotaka yawe,je serikali ikisema vinginevyo? nini kitafuata? na Ni lazima watu wote wasifanye kazi hata kama hawapendi siasa? na wale wakuishi kwa kutegemea biashara hiyo hasara ya siku hiyo anarudisha nani? Na wanafunzi je? waajiriwa makazini? Mi nasema hawana nia njema! wakajipange tena sio kuzuia huduma, hilo ni kosa!


Nani akuwekee?
Si uitafute mwenyewe humu jamvin utaiona?whats so special about you,maamuz ya watu kuboycott hawajalazimishwa...

Chimfamunu ama mwenee,wako channi??
 
Hakuna huduma hadi mida hii,maduka yote yamefungwa,,

Pamoja na kuwapo na taarifa ya kwamba hotuba ya wizara ya nishati na madini itatolewa siku ya juma tatu,bado wananchi wanaendelea na msimamo wa kutofungua maduka na huduma zingine za kijamii ili kuwapa somo serikali,

tutarudi na picha hapa mda si mrefu,,
Sizinga atakuja na Snaps za kutosha tuh...
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom