Kagolo
Member
- Apr 16, 2013
- 72
- 23
Na ndio mpango mzima kama kwenye Usafiri. Barabara mbovu, Abilia wengi na Kigari kidogo.Nchi hii kwa mipango!......Wananchi wanajipanga na Polisi nao wanajipanga.....Watawala nao "wanajipangia"
Dawa ni kuwajaza, mashimo yatawapanga tu!.
Na sisi wametujazwa shida zinatupanga ukibahatika kuifikia siti unakaa ikishindikana unaning,inia tu!.