Wajumbe hv ni nani aliyetangaza kama mi ndo niloleta rick rossy bongo yani mmenikera sana nilikuwa na mpango wa kuwaleta cash money wote ıla ctaweleta mmekera sana wengine rozyy aliondoka usiku ule ule wapi??? Alikuja nyumbani kwangu kumtisha mtoto wangu maana alikuwa analia sana!!!!!!!!