Big up Rostam Aziz kwa maelezo mazuri sana,wewe huusiki kabisa na lolote wanakupaka matope tu hawa,Endelea kula bata tuu
Binafsi nimejifunza kitu. Watanzania weusi tunajenga nchi, watanzania wenye asili ya asia hasa wahindi na waarabu wanabomoa nchi. Ipo siku, kama hawatakuwa na adabu itabidi kuwafukuza. Si wote wafanyao hivyo bali wapo baadhi yao, wanamajivuno sana, wana kiburi, na wanataka kutufanya sisi kuwa wenda wazimu wao. Natoa rai kwao wajirekebishe kwani wanachochea moto wenyewe.
Big up Rostam Aziz kwa maelezo mazuri sana,wewe huusiki kabisa na lolote wanakupaka matope tu hawa,Endelea kula bata tuu
"kweli kabisa,naona watu wameishiwa maneno kila saa rostam hivi rostam vile. Dr slaa ambae si doctor wa profession bali wa dini ni hatari ndio maana wamemshindilia store.nchi haiendeshwi na wendawazimu"
Time is a healer,si mbali sana ni karibu tu ukweli tutaujua............subira tu.Huyu Mungu alitujulisha mpaka hapo atatujulisha na hayo yaliyobaki,
big up rostam aziz kwa maelezo mazuri sana,wewe huusiki kabisa na lolote wanakupaka matope tu hawa,endelea kula bata tuu
Nani hatari kati ya mhujumu uchumi, mwizi, jambazi Aziz na mpigania haki Slaa mwenye uchungu na nchi yake????????????????????
Watz ifike pahala tutambue kuwa nchi hii inaliwa na watu wachache sana idadi yao hata kumi haifiki, ni watu wachache wanawapa wengine nafasi ya kuila nchi hii tajiri lakini tunaishi kwenye giza, nyumba za matembe, usafiri shida, elimu ya kisanii, hospitali zisizo na dawa.
Wazalendo wako wapi wenye uchungu na nchi yao.
"kweli kabisa,naona watu wameishiwa maneno kila saa rostam hivi rostam vile. Dr slaa ambae si doctor wa profession bali wa dini ni hatari ndio maana wamemshindilia store.nchi haiendeshwi na wendawazimu"
Hysterical, zombie dont jump in to serious matters as this when you sick of hysteria.Big up Rostam Aziz kwa maelezo mazuri sana,wewe huusiki kabisa na lolote wanakupaka matope tu hawa,Endelea kula bata tuu
"kweli kabisa,naona watu wameishiwa maneno kila saa rostam hivi rostam vile. Dr slaa ambae si doctor wa profession bali wa dini ni hatari ndio maana wamemshindilia store.nchi haiendeshwi na wendawazimu"
Kaka kile ki Avtar chako cha Paka na Mtoto wa Kuku kiko wapi?Ooohhh!!! yamekuwa haya tena. mmhh!! hebu tusaidie kuelewa hawa bata anavyowakula.
Mmiliki wa gazeti la Rai; Rostam Aziz, ambaye ndiye wengi tunaamini ni mwakilishi wa JK kwenye kashfa ya DOWANS ambayo isipovaliwa njuga italigharimu taifa zaidi ya bilioni 100 ametumia nafasi yake tajwa visivyo alipotumia kumchafua Dr. Slaa na kumwita ni hatari kwa taifa wakati sisi tunaamini yeye Rostam Aziz ndiye hatari kwa usalama wa taifa hili.................................kwa kutuingiza mkenge ili tulipe ufisadi na hivyo kukwamisha jitihada za taifa hili kujitoa kwenye lindi la umasikini............
Aidha Rostam Aziz alidai ya kuwa Dr. Slaa alimzushia kushiriki kikao cha mwanza kilichopanga uchakachuaji wa kura wakati yeye alikuwa safarini Afrika ya Kusini safari ambayo hadi leo Rostam Aziz kashindwa kututhibitishia kuwa kwenye tarehe hizo kweli hakuwa nchini baada ya hata kushindwa kuonyesha kwenye pasi yake ya kusafiria mihuri na viza ya kuingia na kutoka kule Afrika ya Kusini.
Rostam Aziz pia anadai ya kuwa kwa mara nyingine Dr. Slaa amemzushia safari ya kwenda Marekani kwa ajili ya kupanga mipango ya kulipora Taifa hili mabilioni ya fedha kupitia DOWANS huku akishirikiana kwa karibu na swahiba wake JK safari ambayo Rostam Aziz anadai hakwenda..........kwani kwenye tarehe hizo alikuwa humu humu nchini..........Lakini kinyume na awali ambapo Rostam Aziz alionyesha baadhi ya ushahidi ambao uliongeza utata juu ya utetezi wake safari hii hakutoa ushahidi wowote ule kuthibitisha madai yake katika mazingira yanayothibitisha zaidi ya kuwa pengine hata safari hii anasema uongo tu...............Huenda safari hiyo ya marekani alikwenda na sasa anajishauashaua tu..............kujaribu kufunika ukweli.................Upo ushahidi ambao ulitolewa na Tanesco kwa msuluhishi ya kuwa Rostam Aziz ni mwasisi wa kashfa ya DOWANS.......................kama ushahidi huu uliotolewa na tanesco kwenye uamuzi wa DOWANS unavyojieleza..........
Alipotakiwa kueleza ni kwa sababu gani hasa jina lake limekuwa likitajwa katika sakata zima la sakata la Richmond, Rostam alisema jambo pekee analokiri kupata kulifanya ni kuwashawishi wamiliki wa kampuni ya Dowans Holdings SA iliyorithi mkataba wa Richmond kuja kuwekeza nchini katika sekta ya umeme.
"Mimi nilishiriki katika kuwashawishi Dowans kuja nchini. Nitaendelea kushawishi wawekezaji waje nchini ili nchi iendelee, ajira ipatikane na kodi ziongezeke.
"Juzi tu nimetoka Singapore, Malaysia na UAE (Falme za Kiarabu) kuwashawishi wawekezaji kuwekeza kwenye usafiri wa anga," alisema Rostam.