mpayukaji
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 940
- 349
[h=3]Bongo nchi ya wauza bwimbwi[/h]
Taarifa kuwa mtuhumiwa wa kusafirisha madawa ya kulevya ambaye ni mdogo wa mbunge wa zamani wa Igunga Rostam Aziz aitwaye Abdulrasul kutokutwa na hatia ni pigo kwa taifa. Ukisoma jinsi kesi ilivyoendeshwa haraka na kinamna unashangaa hawa majaji wetu au tuseme waendesha mashtaka huvuta bangi gani. Uzoefu unaonyesha kuwa kesi za madawa ya kulevya au ufisadi zinazohusisha vigogo au makuwadi wao, huisha kinamna huku wateule wakiachiliwa huru na wanyonge kubeba mzigo wao.Abdulrasul alikuwa akikabiliwa shitaka la kutaka kusafirisha madawa ya kulevya kupitia bandari ya Tanga. Kama ilivyokuwa kwa Kagoda, Rostam amezeidi kupeta huku waswahili vidagaa waliosaidiana naye wakiendendelea kukabiliwa na kesi yake! Kwa habari zaidi Bonyeza hapa.
Taarifa kuwa mtuhumiwa wa kusafirisha madawa ya kulevya ambaye ni mdogo wa mbunge wa zamani wa Igunga Rostam Aziz aitwaye Abdulrasul kutokutwa na hatia ni pigo kwa taifa. Ukisoma jinsi kesi ilivyoendeshwa haraka na kinamna unashangaa hawa majaji wetu au tuseme waendesha mashtaka huvuta bangi gani. Uzoefu unaonyesha kuwa kesi za madawa ya kulevya au ufisadi zinazohusisha vigogo au makuwadi wao, huisha kinamna huku wateule wakiachiliwa huru na wanyonge kubeba mzigo wao.Abdulrasul alikuwa akikabiliwa shitaka la kutaka kusafirisha madawa ya kulevya kupitia bandari ya Tanga. Kama ilivyokuwa kwa Kagoda, Rostam amezeidi kupeta huku waswahili vidagaa waliosaidiana naye wakiendendelea kukabiliwa na kesi yake! Kwa habari zaidi Bonyeza hapa.