Rostam azidi kuthibitisha alivyoweka nchi mfukoni mwake

Pinda hajakosea kabisa..hivi mnajua Rostam anaidai hii serikali kiasi gani??? Huyu ndio mfalme wa hii nchi siku akisema watanzania wote nataka leo mtembee na chupi tu barabarani ujue wewe mimi ndugu zetu wote tunachojoa nguo tunatembea na vyupi mpaka akisema inatosha ndio tunaacha...Halafu tunasema hii nchi ina uhuru wakati tunatawaliwa hivi hivi tunajiona!!
With all due respect mkuu, tulishavuka zama za udhalilishaji wa namna hiyo. How dare you let your mind harbor such an outrageous thought! Over my dead body....yakitokea haya ukajikuta peke yako....we ni mtoto wa mjini kweli?
 
Je, kutuuzia Watanzania madawa ya kulevya hajatutembeza na chupi? ni wapi ulioona watu wanaotumia madawa ya kulevya wanatembea na nguo (vichaaa)

Wachina walishapitisha sheria kuwa mtu yeyote akikamatwa na madawa ya kulevya nchini mwao adhabu ni kifo!! Sasa HAWA NI NCHI TAJIRI SISI NCHI MASKINI TUNAFANYA MCHEZO NA HAWA MAHAYAWANI WANAOTUHARIBIA NGUVU KAZI YETU KWA KUWALISHA MADAWA YA KULEVYA VIJANA WETU. Huyu Rostam na genge lake walishajulikana siku nyingi kuwa wanajihusisha na hiyo biashara lakini kwa vile hizo hela za madawa ya kulevya ndio zilitumika kuwaingiza madarakani wana mtandao ndio maana wako radhi vijana wetu wawe mazezeta lakini Rostam na genege lake watajilike!! CCm mna kesi ya kujibu kwa dhambi hii; angekuwa China Rostam na wenziwe wangeisha chinjwa.
 
Mzigo/shehena hiyo ndio kubwa kuwahi kukamatwa Tanzania na Afrika kwa wakati mmoja kwa Takwimu za sasa ni Kilo 179 zenye dhamani ya bilioni 3.

Mtaji wake ni wa mtu mzito hiyo ni shehena ya biashara moja tu mbali na kukamatwa hakuna kuyumba ni sawa na kuiba pipi moja dukani
Atayumbaje wakati na mzigo wake anarejeshewa? Kama kafutiwa mashtaka wanao uwezo wa kututangazia kuwa hazikuwa dawa za kulevya bali glucose isiyo sindikwa. "Majina ya wauza dawa za kulevya ninayo msipojirekebisha selikali itawashukia" by J.M.Kikwete.
 
Mzigo/shehena hiyo ndio kubwa kuwahi kukamatwa Tanzania na Afrika kwa wakati mmoja kwa Takwimu za sasa ni Kilo 179 zenye dhamani ya bilioni 3.

Mtaji wake ni wa mtu mzito hiyo ni shehena ya biashara moja tu mbali na kukamatwa hakuna kuyumba ni sawa na kuiba pipi moja dukani
...ninawaapieni, mpaka Jk anatoka ikulu, basi hata hiyo ikulu yenyewe itakuwa ishauzwa, serikali mpya itakuwa na kazi ya kukomboa ikulu kwanza!
 
...ninawaapieni, mpaka Jk anatoka ikulu, basi hata hiyo ikulu yenyewe itakuwa ishauzwa, serikali mpya itakuwa na kazi ya kukomboa ikulu kwanza!

hv sasa ipo rehani,mda si mrefu bb riz anamaziwa chake ikulu panapoa.
 
Rostam amehangaika sana kumtoa mdogo wake hadi kafanikiwa alikamatwa na ushahidi akiwa na shehena lakini ati hana kesi ya kujibu lakini kwa vile ametoka atapambana kuwatoa vibarua wake walioko mahabusu.

Ebu dadavua vizuri mkuu, ilikuwa ready handed (shehena lilikuwa na nyaraka zinazoonyesha mtuhumiwa ni mmiliki wake, au alikutwa anagawa nzigo kwa vibarua wake kutoka kwenye shehena hizo au ...)tukio lilikuwaje Mkuu?
 
Ma-judge wanatakiwa wawe makini sana. Baada ya katiba mpya huko Kenya kuna ma-judge sasa hivi wanapata shida sana kutokana na hukumu walizotoa miaka ya huko nyuma! Wengine walitoa hukumu wakati wa Moi.
 
Bongo nchi ya wauza bwimbwi



thumbnail.aspx


Taarifa kuwa mtuhumiwa wa kusafirisha madawa ya kulevya ambaye ni mdogo wa mbunge wa zamani wa Igunga Rostam Aziz aitwaye Abdulrasul kutokutwa na hatia ni pigo kwa taifa. Ukisoma jinsi kesi ilivyoendeshwa haraka na kinamna unashangaa hawa majaji wetu au tuseme waendesha mashtaka huvuta bangi gani. Uzoefu unaonyesha kuwa kesi za madawa ya kulevya au ufisadi zinazohusisha vigogo au makuwadi wao, huisha kinamna huku wateule wakiachiliwa huru na wanyonge kubeba mzigo wao.Abdulrasul alikuwa akikabiliwa shitaka la kutaka kusafirisha madawa ya kulevya kupitia bandari ya Tanga. Kama ilivyokuwa kwa Kagoda, Rostam amezeidi kupeta huku waswahili vidagaa waliosaidiana naye wakiendendelea kukabiliwa na kesi yake! Kwa habari zaidi Bonyeza hapa.


Mkuu, ishu ya madawa ya kulevya inaratibiwa na IKULU, chini ya usimamizi wa Riz1. Hawa jamaa hawawezi kufungwa, kila siku ni polojo tu. Kuna kipindi JK alisema anawafahamu wauza unga.. then what next... Hii vita inakuwa ngumu sana, kwa sababu familia ya mkulu inausika direct... vile vile hata magembe anausika, kwani yeye ndio anatoa vibali vya sukari, ambavyo ndivyo vinatumika kuingizia unga, ndio maana pamoja na madudu yake yote kama yalivyoonyeshwa na CAG, JK ameendelea kumkingia kifua...
 
Ma-judge wanatakiwa wawe makini sana. Baada ya katiba mpya huko Kenya kuna ma-judge sasa hivi wanapata shida sana kutokana na hukumu walizotoa miaka ya huko nyuma! Wengine walitoa hukumu wakati wa Moi.

Hakuna marefu yasiyo na mwisho, cha msingi record ziwekwe vizuri, ili after 2015 tuanze kuwashughulikia... Mifano si ipo..
 
Je, kutuuzia Watanzania madawa ya kulevya hajatutembeza na chupi? ni wapi ulioona watu wanaotumia madawa ya kulevya wanatembea na nguo (vichaaa)

:biggrin1: mweleze....nimemuambia ukweli ndio maana kamaindi...ndugu huo ndio ukweli wenyewe hii nchi ishachukuliwa si yetu tena...
 
Mkuu, ishu ya madawa ya kulevya inaratibiwa na IKULU, chini ya usimamizi wa Riz1. Hawa jamaa hawawezi kufungwa, kila siku ni polojo tu. Kuna kipindi JK alisema anawafahamu wauza unga.. then what next... Hii vita inakuwa ngumu sana, kwa sababu familia ya mkulu inausika direct... vile vile hata magembe anausika, kwani yeye ndio anatoa vibali vya sukari, ambavyo ndivyo vinatumika kuingizia unga, ndio maana pamoja na madudu yake yote kama yalivyoonyeshwa na CAG, JK ameendelea kumkingia kifua...

hayo madawa ya kulevya yakiingizwa yanatumiwa na watanzania na matokeo yake ni kua wengi wanakufa wengine wanabakia kua vichaa/wamedata na wengine wanafilisika kifedha kiakili na kiafya...na wajibu wa serikali yetu ni kulinda wananchi wake kwa gharama yoyote ile...oh my
 
Back
Top Bottom