upendo huo wa RA na EL kwao ni upendo wa aina ya nipe nikupe, wale jamaa wakijengewa malambo na majosho mawili ya kunywesha na kuogeshea mifugo wanapiga kura kwa spidi ya kutoka Tengeru kuitafuta Kikatiti Arusha.Msisahau matokeo ya njaa, ujinga na hofu!