zubedayo_mchuzi
JF-Expert Member
- Sep 2, 2011
- 4,873
- 1,221
Mbunge aliejiudhuru wa jimbo la Igunga Rostam Azizi,inasemekana amepenya kwenye medani za siasa za kenya na kuanza kwa kumuunga Mkono Raila Odinga.
Source@ gazeti la fahamu dira ya mabadiliko,toleo no 199 la juma4 julai 17-23,2012.
To be frank, Raila will never win in Nairobi, will not win in Coast, will not win Nyanza, will not win Rift Valley. he will only win in Lang'ata. Willy Rutto is the favorite President of Kenya believe me!
Penye udhia, penyeza rupia! Wahindi wanalielewa sana hilo na wanatumia sana udhaifu wa wenye matobo kwenye matumbo yao.
To be frank, Raila will never win in Nairobi, will not win in Coast, will not win Nyanza, will not win Rift Valley. he will only win in Lang'ata. Willy Rutto is the favorite President of Kenya believe me!
stop dreaming, wake up.
Inawezekana!Kama Mzee Sabodo?
Mbunge aliejiudhuru wa jimbo la Igunga Rostam Azizi,inasemekana amepenya kwenye medani za siasa za kenya na kuanza kwa kumuunga Mkono Raila Odinga.
Source@ gazeti la fahamu dira ya mabadiliko,toleo no 199 la juma4
Wala haishangazi kwani uhusiano wa wanasiasa na wafanyabiashara ni kama uji na mgonjwa tuu.
Inawezekana!
Inawezekana!