mkonowapaka
JF-Expert Member
- Feb 19, 2010
- 1,493
- 767
huyu dada jamani (kama kweli) mamods naomba mumpe walau kamisheni ( au wee mod nini) maana mda wote npatao upenyo lzm ukute koment zake kwenye thread mbalimbali...najaribu kuifikiria aina ya kazi uifanyayo binti wewe...nyingine hadi saa 7 ucku..hivi umeolewa?asa inakuaje mda huo au ndo unatupia za via mobile web wakat jamaa anamaliza....:caked: